Khaaa, swahiba utasutwa lol... Bwana aliamua kutoroka bila kuaga wacha moyo wangu niuelekeze kwa nitonye!mi naomba nikutaftie vin diesel swahiba.
Nimekusikia la'aziz,andaa na kiwanja kabisa,sera yangu nikimpenda mwanamke kwanza namtandika na nyumba mengine baadae,mimi ndo bishanga bana.
Nishakuja, hunioni nipo hapa pembeni yako? Hebu geuza shingo yako upande wa kulia... Umeniona?I love you too baby. Njoo unipoze moyo honey
Khaaa, swahiba utasutwa lol... Bwana aliamua kutoroka bila kuaga wacha moyo wangu niuelekeze kwa nitonye!
Khaaa! Nikiachika nakufuata!i love you too,my dearest loving Sweetlady,mmmmmmwwwwaaaaaaa!!!!!
Dah! hapa kishanuka acha nimPM eliza wa tegeta fastaUsizimie tafadhali manake nna mpango wa kukufanya nyumba ndogo yangu.... I love you ila nampenda zaidi yako!
I love you!
Na wewe wajua ndie nnae mtegemea kwenye huo msuto hivyo jiandae...katika msuto naomba mkwe wangu asiwepo maana yeye peke yake anacover nafasi ya watu kumi. Ametoroka wakati we umemchinjia baharini. Dah, ngoja nisimwage mchele kwenye mijikuku mingi.
Mwaaaaaaaaaaaaaa!Nimekuona honey busu lako latosha
Na wewe wajua ndie nnae mtegemea kwenye huo msuto hivyo jiandae...
Ntakutafuta unipe kwa kirefu nlivomchinjia baharini, wewe mwenyewe wajua kisu changu kilivo butu, hakikati hata nyanya!
BW wewe mwenyewe waona husninyo anavomkodolea macho nitonye, ning'ate kucha husni amchukue?.. Hang'ati mtu kucha hapa!Shosti nilifikiri ungeng'ata kucha kwanza kumbe! !!!! Haya Nitonye brada wifi huyo
ile hela ya kodi ya nyumba uliyoniomba nikukopeshe nitakutumia nxt week.