duh, yaani mboa mie siombwi out?
duh, yaani mboa mie siombwi out?
Unajuaje kama nitonye sio cookie kwa id ingine?...lol. Tulisherehekea kwa raha zetu! Vipi ulipata wa kukutoa?Haya sasa, kumekucha....wakubwa na makubwa yao!! Ila nahisi kama harufu ya Cookie ananyatia na rungu mkononi!!
Wacha nikunong'oneze, si alinifuata mpaka home kuja kuniomba msamaha? Aliniletea na vijizawadi so nilimsamehe kwa moyo mkunjufu tukaendelea na maisha!..Dah! Bro nahisi umechelewa sana
Ilikuwa poa kwa upande wetu, kwako je?usisahau na kile kitenge chekundu, kiatu chekundu, miwani miekundu, na gauni lile jekundu achana na lile jeupe fanya fasta maana saa sita mwisho wa valentine
Tatizo lako ulichagua kutoka na mzee ODM ukaacha vijana, sasa kweli ODM na uzee wote ulitegemea akutoe?..lol. Umeula wa chuya mama! Poleduh, yaani mboa mie siombwi out?
Arudi kutoka wapi? Hakwenda popote, wakati Husni anaweka uzi wa kuchagua mwenza yeye alikuwa kalala!Sio kwamba ndiyo umerudi tym hii...
Good, nilidhani ungeogopa!Nina rungu la chuma ole wake asogee hapa