Kwani hiz taarifa za uongo?Khaaaaa!loya klorokwini haya ni majungu au?hebu ngoja ntarudi badae kidogo tunamalizia kupeana cha asubuhi na Rejao wangu nicje nikamkata stim bure lol!
Cantalisia, Nakusubiria my wife!!Khaaaaa!loya klorokwini haya ni majungu au?hebu ngoja ntarudi badae kidogo tunamalizia kupeana cha asubuhi na Rejao wangu nicje nikamkata stim bure lol!
Rejao kamtwanga Cantalisia afu nasikia wewe ndie chanzo
kijana naona mechoka kuishi juu ya arzi, Kipipi jana tu nimemnunulia saa water proof halaf tumepiga picha ya pamoja , mzembe nimenyoa sharubu zote kwenye foto. kulaleki
Ukuje na kanga tu, mazikoni hakuvaliwi fashion
Ametwangwa rejao baada kufumwa jikoni na cantalisia analibaka papai la fruti usiku wa manane kipindi cha ujauzito wa cantalisia
sweetlady yabidi ujiandae, maana Erickb52 anadai kusutwa mwanaume suna, hana hata uoga! kaaazi kwel kwel!
Haki yanani shem wangu @Erickb52 makin utasutwa mwaka huu lol!habari hizi ni uzushi kwann ucniulize mwenyewe nikakujiaju shem!
Cantalisia, Nakusubiria my wife!!
Hahahaa kwani shem ni mimi ndo nimesema au klorokwini ?
Mi sipo shem wangu hata sina kosa...mimi na wewe tena lol
erickb52 mie tayari figa la 5 kwa YM, Uniunganishe kwa nani tena? si unataka ni RIP kabla ya muda, mashine nazo zinatakiwa zipate hewa ebo!Hahahahaa nawewe cacico kwa umbea lol
Halafu ushaanza uchonganishi eeeh ntakuunganisha uwe nyumba ndogo ya nane lol
Kwa hiyo mama unasema hata mi niongeze figa la pili?
Rejao nasikia umetwangwa taraka na Cantalisia ?Cantalisia, Nakusubiria my wife!!
Oooh darling just come this way......... yeah.....!!
MamndenyiMhhhhhhhh,
naogopa kesi,
hawachelewi kusema mama mkwe anapenda kupokea
vitenge vya waksi pande zote.
erickb52 mie tayari figa la 5 kwa YM, Uniunganishe kwa nani tena? si unataka ni RIP kabla ya muda, mashine nazo zinatakiwa zipate hewa ebo!