sioni kama kuna kipaji chochote zaidi ya kututega tu na paja lake. Hawazi kuwa na kipaji kizuri kukishinda cha akina Rah P, Ray C, Jay Dee and the likes. Huyu naona anafanya matangazo ya paja!
sioni kama kuna kipaji chochote zaidi ya kututega tu na paja lake. Hawazi kuwa na kipaji kizuri kukishinda cha akina Rah P, Ray C, Jay Dee and the likes. Huyu naona anafanya matangazo ya paja!
ukiwa unasikiliza radio utaona wapi paja, zungumzia wimbo wake achana na paja wapenda minofu tumetulia.
mbona hao uliowataja wanaonyesha mapaja JD mbona anaonyesha au kwa kuwa ni mfupa na ngozi ndio maana huoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.