Elections 2010 Swalla ya EID (Iddi) Yatumika KISIASA?

mozze

Senior Member
Aug 27, 2010
185
28
Nimejiuliza leo, ni nani na NAMNA gani wahusika wanachagua sehemu ya kufanyia Swala ya EID?
Nakumbuka Kinana aliwahi kusema Mgombea uraisi wao atarudi Dar kwa ajili ya mapumziko na kushiriki Eid, lakini nimeona Eid kufanyika Tanga.
Nashawishika kuona kuwa imepangwa huko ili mgombea Urais yw CCM ambaye alikuwa Tanga kwa kampeni aweze kutumia nafasi hiyo kutoa ushawishi wa kisiasa hasa kwa Waislam wenzake.
Kwa tafsiri yangu huu ni Mchezo mchafu! na Ndugu Waislam wa Tanga TUSIDANGANYIKE!
 
Nimejiuliza leo, ni nani na NAMNA gani wahusika wanachagua sehemu ya kufanyia Swala ya EID?
Nakumbuka Kinana aliwahi kusema Mgombea uraisi wao atarudi Dar kwa ajili ya mapumziko na kushiriki Eid, lakini nimeona Eid kufanyika Tanga.
Nashawishika kuona kuwa imepangwa huko ili mgombea Urais yw CCM ambaye alikuwa Tanga kwa kampeni aweze kutumia nafasi hiyo kutoa ushawishi wa kisiasa hasa kwa Waislam wenzake.
Kwa tafsiri yangu huu ni Mchezo mchafu! na Ndugu Waislam wa Tanga TUSIDANGANYIKE!

kWA HAWA JAMAA muda huu watatumia kila upenyo kuomba ridhaa toka kwa kila kikundi cha kijamii!
Waangalie mzee asije akajisahau na kutoa ahadi za kujenga misikiti 100 mkoani Tanga!...huh!
 
Swala ya Eid kitaifa hufanyika kwa kuzunguka na mara nyingi huangalia upatikanaji wa viongozi wakuu wa kitaifa ili ushiriki wao uweze kuipa swala hii macho ya walio wengi. Na ukweli ni kwamba Kikwete pamoja ya kwamba ni mgombea wa urais BADO pia ni rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa bahati mbaya kwenye mikusanyiko kama hii inayolazimu wanene wa nchi wawepo, kumwalika ndugu Kikwete ni kufuata itifaki.

Itasikitisha kuona kama waalikwa na waumini watakubali kutumia na kutumika katika Eid kuendesha siasa na hii itakuwa ni kukiuka makubaliano ya maadili ya uchaguzi ambayo vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi walitia saini.
Kingine pia Tanga siku zote ni ngome imara ya CCM na hili kila mmoja analijua na sasa haingii akilini CCM kutumia sala ya Eid kujinadi Tanga, ikiwa watafanya hivyo.

Jamani tusikimbilie kulalamika lalamika au kuhisi mchezo mbaya kila wakati hii huonesha kutokujiamini kwetu.
 
Hapa Kenya kibaki kaamua kuifunika sikukuu na kuwaambia wafanyakazi waendelee na kazi, in short hapa si mapumziko wala nini, kesho eid pili ndo sikukuu ya kitaifa na j3 watu wanakwenda maoficini kama kawa!
 
Nimejiuliza leo, ni nani na NAMNA gani wahusika wanachagua sehemu ya kufanyia Swala ya EID?
Nakumbuka Kinana aliwahi kusema Mgombea uraisi wao atarudi Dar kwa ajili ya mapumziko na kushiriki Eid, lakini nimeona Eid kufanyika Tanga.
Nashawishika kuona kuwa imepangwa huko ili mgombea Urais yw CCM ambaye alikuwa Tanga kwa kampeni aweze kutumia nafasi hiyo kutoa ushawishi wa kisiasa hasa kwa Waislam wenzake.
Kwa tafsiri yangu huu ni Mchezo mchafu! na Ndugu Waislam wa Tanga TUSIDANGANYIKE!

wewe ulitaka ifanyike wapi..?!!
 
Swala ya Eid kitaifa hufanyika kwa kuzunguka na mara nyingi huangalia upatikanaji wa viongozi wakuu wa kitaifa ili ushiriki wao uweze kuipa swala hii macho ya walio wengi. Na ukweli ni kwamba Kikwete pamoja ya kwamba ni mgombea wa urais BADO pia ni rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa bahati mbaya kwenye mikusanyiko kama hii inayolazimu wanene wa nchi wawepo, kumwalika ndugu Kikwete ni kufuata itifaki.

Itasikitisha kuona kama waalikwa na waumini watakubali kutumia na kutumika katika Eid kuendesha siasa na hii itakuwa ni kukiuka makubaliano ya maadili ya uchaguzi ambayo vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi walitia saini.
Kingine pia Tanga siku zote ni ngome imara ya CCM na hili kila mmoja analijua na sasa haingii akilini CCM kutumia sala ya Eid kujinadi Tanga, ikiwa watafanya hivyo.

Jamani tusikimbilie kulalamika lalamika au kuhisi mchezo mbaya kila wakati hii huonesha kutokujiamini kwetu.

.
Nani asiyefahamu kwamba BAKWATA ni kitengo cha propaganda cha ccm toka enzi na enzi? Bakwata itawaburuza waislamu wa Tz hata mwisho wa siku kama ccm itaendelea kuwa madarakani. Ni njia pekee ya waislamu huru kujinasua na Bakwata ni kuiondoa ccm madarakani.
Wasipofanya hivyo wasitarajie hata siku moja kuwa na maamuzi huru.
 
Nimejiuliza leo, ni nani na NAMNA gani wahusika wanachagua sehemu ya kufanyia Swala ya EID?
Nakumbuka Kinana aliwahi kusema Mgombea uraisi wao atarudi Dar kwa ajili ya mapumziko na kushiriki Eid, lakini nimeona Eid kufanyika Tanga.
Nashawishika kuona kuwa imepangwa huko ili mgombea Urais yw CCM ambaye alikuwa Tanga kwa kampeni aweze kutumia nafasi hiyo kutoa ushawishi wa kisiasa hasa kwa Waislam wenzake.
Kwa tafsiri yangu huu ni Mchezo mchafu! na Ndugu Waislam wa Tanga TUSIDANGANYIKE!

Wangeifanyia Karatu au Tarime :lol::eek2::eyebrows:
 
.
Nani asiyefahamu kwamba BAKWATA ni kitengo cha propaganda cha ccm toka enzi na enzi? Bakwata itawaburuza waislamu wa Tz hata mwisho wa siku kama ccm itaendelea kuwa madarakani. Ni njia pekee ya waislamu huru kujinasua na Bakwata ni kuiondoa ccm madarakani.
Wasipofanya hivyo wasitarajie hata siku moja kuwa na maamuzi huru
.

Hivi unafahamu ya kwamba Bakwata hakuna uanachama, na pia si lazima wa kila mwislamu kufuata kile ambacho Bakwata wanafanya au shauri? Bado sijajua wala ona uhusiano kati ya Bakwata na uhuru wa waislamu Tanzania kama unavyoainisha katika ujumbe wako hapo juu. Migogango baina ya baraza hili na waumini wa Kiislamu inaeleweka na kwa uelewa wangu haijawa ya kisiasa kama vile ilivyo migongano yoyote ile ambayo hutokea baina na watu na makundi mbalimbali.
Hivi majuzi hapa tulipokuwa tunajadili sakata la TUCTA na serikali, lilikuja tishio la kura za wafanyakazi na kuna bwana mmoja alifafanua wazi ya kuwa "Tanzania hakuna kura za makundi", na hivi ndivyo naamini pia hata kwa Waislamu ndio jinsi ilivyo.
Kura ya mtanzania inapigwa kwa kuangalia ni nani atatetea vyema maslahi ya mpiga kura huyo na si nani atatetea maslahi ya vikundi mbalimbali. Leo hii Tanzania sidhani kama Bakwata wana uwezo wa kushinikiza waislamu wakipigie kura chama chochote kile kwa sababu yeyote ile.

Tukirudi katika mada, hili swala la Eid kuswaliwa kitaifa Tanga, Lindi, Mara, Kigoma, Dar au kwingineko kokote kule ni vyema lisichukuliwe kisiasa. Hii ni sikukuu ya kidini na ni vyema watu wakaachiwa wapumzike na sio kuletewa kero za siasa.
 
Hivi unafahamu ya kwamba Bakwata hakuna uanachama, na pia si lazima wa kila mwislamu kufuata kile ambacho Bakwata wanafanya au shauri? Bado sijajua wala ona uhusiano kati ya Bakwata na uhuru wa waislamu Tanzania kama unavyoainisha katika ujumbe wako hapo juu. Migogango baina ya baraza hili na waumini wa Kiislamu inaeleweka na kwa uelewa wangu haijawa ya kisiasa kama vile ilivyo migongano yoyote ile ambayo hutokea baina na watu na makundi mbalimbali.
Hivi majuzi hapa tulipokuwa tunajadili sakata la TUCTA na serikali, lilikuja tishio la kura za wafanyakazi na kuna bwana mmoja alifafanua wazi ya kuwa "Tanzania hakuna kura za makundi", na hivi ndivyo naamini pia hata kwa Waislamu ndio jinsi ilivyo.
Kura ya mtanzania inapigwa kwa kuangalia ni nani atatetea vyema maslahi ya mpiga kura huyo na si nani atatetea maslahi ya vikundi mbalimbali. Leo hii Tanzania sidhani kama Bakwata wana uwezo wa kushinikiza waislamu wakipigie kura chama chochote kile kwa sababu yeyote ile.

Tukirudi katika mada, hili swala la Eid kuswaliwa kitaifa Tanga, Lindi, Mara, Kigoma, Dar au kwingineko kokote kule ni vyema lisichukuliwe kisiasa. Hii ni sikukuu ya kidini na ni vyema watu wakaachiwa wapumzike na sio kuletewa kero za siasa.
Kama ndivyo kwa nini Bakwata ndio hutangaza siku na mahala pa sala ya Idd Kitaifa. Hawa Bakwata ni nani na nani kawapa mamlaka ya kufanya hivyo kwa waumini wote wa Tanzania!
 
Nimejiuliza leo, ni nani na NAMNA gani wahusika wanachagua sehemu ya kufanyia Swala ya EID?
Nakumbuka Kinana aliwahi kusema Mgombea uraisi wao atarudi Dar kwa ajili ya mapumziko na kushiriki Eid, lakini nimeona Eid kufanyika Tanga.
Nashawishika kuona kuwa imepangwa huko ili mgombea Urais yw CCM ambaye alikuwa Tanga kwa kampeni aweze kutumia nafasi hiyo kutoa ushawishi wa kisiasa hasa kwa Waislam wenzake.
Kwa tafsiri yangu huu ni Mchezo mchafu! na Ndugu Waislam wa Tanga TUSIDANGANYIKE!
Apige kampeni Msikitini au Makanisani mwaka huu...kazi anayo, kuna wengine nimeona wanatumia mpaka miariko ya mahafari kulazimisha kugeuza kampeni...kawa ahadi nini?
 
kwani kufanyika TANGA kuna makosa gani.. si ni mkoa pia wenye waislam wengi

sala hapa kuwa kufanyika tanga ni makosa, hapana ni sikuku ya idd kugeuzwa kuwa kampeni za kisiasa za ccm,
ebo kumbe una mtazamo finyu namna hiyo? kufanyika tanga sikukuu imemfuata kikwete hilo halina halina ubishi
 
wabongo tunalalamikia kila kitu, du

malalamishi mengine hayana msingi jamani

JK ni Raisi aliyepo madarakani hivyo angealikwa hata kama ingekuwa wapi, labda yeye kama angeweza kumtuma mtu.
 
wabongo tunalalamikia kila kitu, du

malalamishi mengine hayana msingi jamani

JK ni Raisi aliyepo madarakani hivyo angealikwa hata kama ingekuwa wapi, labda yeye kama angeweza kumtuma mtu.

Kwa taarifa yenu tu, Mzee Mwinyi ndio mgeni rasmi baraza la Eid,-- soma michuzi/jiachie blog na sio JK. Nakubaliana na wanaosema kuna agenda ya kisiasa kwenye suala zima. Kama JK angekuwa mgeni rasmi baraza la Eid, ningeelewa, lakini nina uhakika amekwenda kuswali kama muislamu wa kawaida na kupiga kampeni kidogo then ataishia kuendelea na kampeni zake. Kumbuka anakaa ikulu akiwa Tanga, na kwa kuwa viongozi mbalimbali wa dini ya kiislamu wako tanga, who knows ni wangapi watapigana vikumbo kwenda ikulu kuonana na mzee? People, think outside the box!!!
 
sala hapa kuwa kufanyika tanga ni makosa, hapana ni sikuku ya idd kugeuzwa kuwa kampeni za kisiasa za ccm,
ebo kumbe una mtazamo finyu namna hiyo? kufanyika tanga sikukuu imemfuata kikwete hilo halina halina ubishi

wewe ndo unamtazamo finyu! nafikiri hii ni nchi huru .. mtu anasali mkoa wowote anaojisikia! .. sasa wewe ulitaka tanga kusiwe na sala ya ead AU? hata hivyo tanga inagawanyika kwa kura za CCM & CUF ... chadema hawana chao kule.
 
Back
Top Bottom