Nimejiuliza leo, ni nani na NAMNA gani wahusika wanachagua sehemu ya kufanyia Swala ya EID?
Nakumbuka Kinana aliwahi kusema Mgombea uraisi wao atarudi Dar kwa ajili ya mapumziko na kushiriki Eid, lakini nimeona Eid kufanyika Tanga.
Nashawishika kuona kuwa imepangwa huko ili mgombea Urais yw CCM ambaye alikuwa Tanga kwa kampeni aweze kutumia nafasi hiyo kutoa ushawishi wa kisiasa hasa kwa Waislam wenzake.
Kwa tafsiri yangu huu ni Mchezo mchafu! na Ndugu Waislam wa Tanga TUSIDANGANYIKE!
Nakumbuka Kinana aliwahi kusema Mgombea uraisi wao atarudi Dar kwa ajili ya mapumziko na kushiriki Eid, lakini nimeona Eid kufanyika Tanga.
Nashawishika kuona kuwa imepangwa huko ili mgombea Urais yw CCM ambaye alikuwa Tanga kwa kampeni aweze kutumia nafasi hiyo kutoa ushawishi wa kisiasa hasa kwa Waislam wenzake.
Kwa tafsiri yangu huu ni Mchezo mchafu! na Ndugu Waislam wa Tanga TUSIDANGANYIKE!