Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
km ni vo basi shughuli ni fup sana
mwte zungumza nae
ustake kupata mateso wakati suluhisho lipo
tok to him/her usijidanganye uliye nae sasa haumpend.period.
rud kwa yule kwa amani na furaha ..km kukosa kila mtu anakosa
mpe chansi msamehe mliendeleze mlpoishia......
akirudi tu ndio ategemee kutendwa zaidi ya alivyotendwa awali, yaani utakuwa umebeba msalaba ambao hujui pa kuushushia, tunaishi mara moja jamani, kwanini tutesane kihivyo? kaza roho jitahidi kumsahau na usonge na maisha yako mapya.