Msamaha wako umekubaliwa.Kipala said:Samahani nikichangia bila lugha ipasavyo hapa.
Nilishasema siku nyingi sana kuwa ni Talmud na ni lugha ya Kiingereza ndiyo niliyoquote.Kipala said:Je kile Libbre David ni nini?? Je ni sehemu ya Talmud?? Ni lugha gani?
Nitafurahi sana ukikanusha kwa vielelezo kuwa hii siyo quotation ya Talmud wakati Makuhani wakutegemewa wa Kiyahudi hawaikanushi ila wanasema ni misquoted.
Ahsante kwa kutuonyesha upeo wako wa ku googleKipala said:Maana kwa njia ya kupiga google nimekuta madai eti nukuu hii ni uwongo mtupu hakuna sehemu kwa jina hili (au jina la kufanana) katika Talmudi popote duniani
Soma hii uone mwenzako anvyojaribu kui refute! hakatai kama hai exist!
The Talmud (Myths and Misquotes) - SkepticWiki
.....more to follow kaeni mkao wa kuliwa.
*"It is the law to kill anyone who denies the Torah. The Christians belong to the denying ones of the Torah." (- Coschen hamischpat 425 Hagah 425. 5)