Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Can you justify that?Nyamayao hata usisumbuke.Tatizo la Xpin hajui kupenda.
" when man loves a woman...................."
Nikutumie namba za mama matesha?
Can you justify that?Nyamayao hata usisumbuke.Tatizo la Xpin hajui kupenda.
" when man loves a woman...................."
Taratibu homeboy! Babu yake nipo. Ntamganga kwa tiba asilia.
Nyamayao hata usisumbuke.Tatizo la Xpin hajui kupenda.
" when man loves a woman...................."
sasa kumbe mama matesha ndo nani??...AHAA!NIMEKUMBUKA,ndo ZDCan you justify that?
Nikutumie namba za mama matesha?
Masaki!!Hivi hayo mambo ya wanaume kuwa wakatili kiasi hicho kwa wake zao yalikuwepo hata enzi za wazazi kuwapangia watoto wao wachumba?
Labda turudi kwenye ''arranged marriages'' watu watakuwa na huruma! Hizi ndoa za kukutana barbarani hizi huchelewi kukuta dada yako kaolewa na ''a retired serial killer''.
hahaha hommie umefufuka? umemsoma mchumba hapa? nimeangalia sijaona lakini vipi ndo kusema babu atampa mjukuu msesewe kama dawa eeh?
Can you justify that?
Nikutumie namba za mama matesha?
duu dudu ebwanaeeee.no komenti
sasa kumbe mama matesha ndo nani??...AHAA!NIMEKUMBUKA,ndo ZD
Masaki!!
Naam bi mkubwa!!
Ah jamani mnanichanganyia dose sasa maana mie namzungumzia Sisy wa jana alopewa adhabu kali na huyu wa kipigo hadi mimba ikatoka
Nahisi malaria inapanda kichwani. Aksante mamii naona inataka nisije Nai
ikupitie mbali dear....
Amen Luv!
Unatafuta kufa kabla Ya siku zakoX-Pin kujua kama simu iko on au la si lazima uikague bana, huyu shem wangu yeye akifika tu home usiku anazima matokeo yake sasa rafiki zake au ndugu wakiwa wanampigia inabidi wamcal kupitia kwa wife si ndo wife akamwuliza kwa nini kazima simu? Since then ni mwendo mdundo