Swali

ccm wamechafuka mno nao wanalijua hilo sema hawawezi kuadmit waziwazi, bila kuwa na kadi yao ninaisapot cdm kutokana sera zao lakini nao endapo cdm watashi madaraka afu wasitende wanachosema kama wafanyavo ccm sasa nao ntawapiga chin sitakiwi kuogopa mabadiliko kama sijafikia malengo yangu! Hakuna chama spesho vyama vyote vilijue hilo naikataa ccm kwa sbb ya utendaji wao mbovu na si vinginevo!
 
Nimefuatilia post yako na naona umetaja tu Chadema..inamaana chadema ndicho chama pekee cha upinzani TZ?
Chadema hii hii nayoijua ya Ubinafsi, majigamo, utemi, ukabila, udini na utabaka,kwa mawazo yako chama kama hiki kitakaa kipate majority support na kiongoze nchi?
Rejao

  • Ubinafsi = CCm Inaongoza kwa ubinafsi kuliko vyama vingine
  • Utemi= CCM is better in utemi than CDM.
  • Majigambo= Hap sijui una maanisha nini Waliwao kuambiwa wafanyabisharwa wakitaka kufanikiwa wawe . Sijui hayo ni nini
  • ukabila, udini= Sawa na sasa hivi sasa CCM inateua mawaziri sio kutokana na utendaji wao bali kutokana na dini na makaliba yao. Je huu sio udini na uabila . eti kila mkoa una waziri. Hivi hizo ndio standard za karne. Binafsi hata akiteua JK akiteua Dini X na kabila Y viongozi wote taungalie nini wanafanya na nini hawafanyi.
  • Tabaka= Ndani ya CCM ndio kuna matabaka hasa. Si unaona wezi wa EPA wanaambiwa waudishe pesa taratibu lakini mwizi wa kuku....... NDo matabaa hayo.......

Sasa kama chama chenye umri wa miaka zadi ya 40 kina hizo sifa zote ulizotaja iweje utegemeee vyama viachanga vinavyojijenga vikose sifa ndogo ndogo kama hizo. teh teh teh teh

Summary
sio kwamba CDM ni best choice lakini ni wazi kuwa CCM ni worst choice na ila siku zinavyozidi hali ndo ikakuwa from worst to worstest teh teh teh teh teh ( Kiranga niko sahiii na hii lugha)
 
Wakuu mimi nina swali na nina uliza kwa kwa uzuri tu katika kufahamu zaidi nini kipo ndani ya mawazo, fikra na mioyo ya Watanzania. Chadema imetoka kupata washabiki wengi sana ndani na nje ya JF. Baadhi ya hawa mashabiki ni wanachama rasmi nikimaanisha wale wanao shikilia kadi za chama na kuna wale ambao wana support Chadema lakini si wanachama rasmi.

Swali langu haswa lina lengi supporters wa Chadema ambao si wanachama rasmi. Nieleweke kwamba sina neno na mtu kuwa mshabiki wa chama fulani bila kuwa mwanachama rasmi. Ni ukweli usiopingika kuwa nchi nyingi chaguzi hushindwa kwa kuvuta "independence" au wale wasio wanachama. Kwa maana mtu akishakua mwanachama huna haja ya kuuza sana sera za chama kwao kwani tayari wana zielewa na ni matumaini yangu wana ziishi.

Sasa swali langu ni je mashabiki wa Chadema ambao si wanachama bado wataendelea kuwa mashabiki pindi Chadema itakapo bahatika kushika madaraka? Je CCM ikisha anguka adui atakua nani? Je kama Chadema ikibahatika kushika madaraka na waka chemsha na wao kimbilio litakua lipi? Nauliza hivi kwa sababu kuna tofauti kati ya kuwa pro-Chadema na anti-CCM. Kuwa pro-Chadema ina maana wewe umeiva uana Chadema na upo nacho kwa hali yoyote. Kuwa anti-CCM ina maanisha wewe haufuati itikadi zozote bali lengo ni kuiona tu CCM ikiondoka na hata kesho kikitokea chama kingine cha upinzani chenye nguvu basi utahamia huko.

Nauliza swali kwa sababu ukweli utabaki pale pale kwamba katika vita yoyote kuna wale wanajeshi ambao unao tokea mwanzo na ambao wata pambana na wewe hata kama mnaelekea kushindwa vita. Na kuna wale watakao jiunga kwa kuangalia upande gani unashinda na wanakua na haraka sana kuhama pale vita inapoelekea kuelemea kwa upande wa pili.

Natambua wengi watashambulia hii mada kiunafiki kwa kutaka kuonekana kweli wana mapenzi ya dhati na Chadema na kwamba wao ni wana Chadema damu damu. Wapo wale wanachadema halisi ambao watakuja juu na nita waelewa. Lakini pia wapo wale ambao watakejeli mioyoni wakijua fika wao ni wanafiki wanaofuata tu upepo unapo kwenda. Nia ni kuamsha hisia za watu na kupima mawazo ya Watanzania wenzangu.



Swala ni kwamba tusianze kutafuta namna ya kujihami mapema wakati hata madaraka yenyewe bado hatujayapata.
Siku zote ng'ombe akivunjika mguu hujikongoja zizini. Kwa hiyo hata kama chadema wakipata madaraka na baadaye kuchemsha, wenye chama ndo watajua nini cha kufanya on the sport na hatupaswi kuanza kujitabiria kufeli kuendesha nchi kama chama kilichopo madarakani kwa sasa.

TUSIFIKIRIE KUFELI MBELINI MAANA TUNAWEZA KUSITISHA SAFARI YETU....
 
Mimi sio mwanachama wa chama chochote kile,ila ni "shabiki na mpenzi wa haki na uhuru "!
chama chochote kile ambacho naona kinafuta kile ninacho amini mimi,then kikaingia
madarakani kikalewa madaraka na kusahau misingi yake sita ki-support kwa vyovyote vile
na nitaangalia chama cha ku-support kwa wakati huo (kama kitakuwepo)
 
Back
Top Bottom