TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,513
- 11,273
Wajameni naomba kuelimishwa, huyu mama amezindua hiyo Meli akiwa kama nani Serikalini? iwapo litatokea swala lolote juu ya hiyo meli, ni nani hasa atakuwa responsible? Je ni yeye au ni mume wake?
Naombeni mnifute ujinga..
Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda Akizindua Meli ya Ocean Rig Poseidon ya Kampuni Ya Petrobas Ya Brazil Kwa Ajili Ya Kufanya Utafiti Wa Mafuta Katika Pwani ya Mtwara na Mafia. Uzinduzi Huo Ulifanyika Mji Wa Geoje, Korea Kusini. Picha Zote: Hilary Bujiku, Ofisi Ya Waziri Mkuu
Picha kwa hisani ya Mjengwa Blog.
Naombeni mnifute ujinga..
Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda Akizindua Meli ya Ocean Rig Poseidon ya Kampuni Ya Petrobas Ya Brazil Kwa Ajili Ya Kufanya Utafiti Wa Mafuta Katika Pwani ya Mtwara na Mafia. Uzinduzi Huo Ulifanyika Mji Wa Geoje, Korea Kusini. Picha Zote: Hilary Bujiku, Ofisi Ya Waziri Mkuu
Picha kwa hisani ya Mjengwa Blog.