Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Umeolewa na una mtoto mmoja, mumeo ana rafiki yake wa kiume mpenzi .
Urafiki ambao sometyms huitwa urafiki ndugu, (lake lako , lako lake )
Mko garini mnasafiri Wewe , Mumeo , Mtoto , na Rafikie Mumeo (Shemejio).
Katika safari hiyo mnapata ajali , mzinga wa kisawasawa.
Ajali hiyo inamuachanisha Mumeo na maisha ya Dunia , mliobaki watatu zenu bado.
Msiba umekwisha na mwaka mmoja umepita , aliyekua rafiki kipenzi wa Mumeo (ambae mpaka muda huo ni Msimbe ) anakutokea na option.
Option hii anakwambia "Shemeji nimekaa na kufikiri namna ya kukusaidia mentality na fiziko (physically)
ni vema na napendelea nikuoe ndiyo the only way ya msaada wangu kwako! Kwani Nyoka wa mbali haui Fimbo !
Nina imani kwa jinsi ya ukaribu wa mimi na Marehemu ni lazima ninakua na umuhimu au deni la kukutunza wewe na mwanao"
Je ? Wewe Dada jichukulie wewe ndiyo mjane lengwa hapa , hii option unaipokeaje ? Unamjibuje Shemejio ?
Urafiki ambao sometyms huitwa urafiki ndugu, (lake lako , lako lake )
Mko garini mnasafiri Wewe , Mumeo , Mtoto , na Rafikie Mumeo (Shemejio).
Katika safari hiyo mnapata ajali , mzinga wa kisawasawa.
Ajali hiyo inamuachanisha Mumeo na maisha ya Dunia , mliobaki watatu zenu bado.
Msiba umekwisha na mwaka mmoja umepita , aliyekua rafiki kipenzi wa Mumeo (ambae mpaka muda huo ni Msimbe ) anakutokea na option.
Option hii anakwambia "Shemeji nimekaa na kufikiri namna ya kukusaidia mentality na fiziko (physically)
ni vema na napendelea nikuoe ndiyo the only way ya msaada wangu kwako! Kwani Nyoka wa mbali haui Fimbo !
Nina imani kwa jinsi ya ukaribu wa mimi na Marehemu ni lazima ninakua na umuhimu au deni la kukutunza wewe na mwanao"
Je ? Wewe Dada jichukulie wewe ndiyo mjane lengwa hapa , hii option unaipokeaje ? Unamjibuje Shemejio ?