TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
Wenzangu;
Kwa kuwa kutahiri wanaume kumekubalika kwamba ni kinga dhidi ya vi-HIV; je kwanini taifa letu lisitahiri watu wake wote bure... yani bila kulipia gharama za theatre [surgery] kama ambavyo tunatoa dawa za bure, vitendanishi kondomu na vipimo vingine katika health facilities?
Hamuoni kwamba wahaya, wasukuma, wanyakyusa, wabena na wakinga watapata ahueni?
Kwa kuwa kutahiri wanaume kumekubalika kwamba ni kinga dhidi ya vi-HIV; je kwanini taifa letu lisitahiri watu wake wote bure... yani bila kulipia gharama za theatre [surgery] kama ambavyo tunatoa dawa za bure, vitendanishi kondomu na vipimo vingine katika health facilities?
Hamuoni kwamba wahaya, wasukuma, wanyakyusa, wabena na wakinga watapata ahueni?