DEVINE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 536
- 86
Rais akifungua mradi wa maji basi atachota na kunawa kidogo,akiwa anazindua barabara basi atatembea kidogo kwenye barabara hiyo mpya,pia rais akifungua jengo fulani atakata utepe na kuwa wakwanza kuingia,hata akizindua kampeni za ukimwi hua wakwanza kupima,akifungua kiwanda cha nguo basi ugaiwa angalau flana avae..Swali je siku akifungua kiwanda cha kondom atafanya kitu gani kwanza?