Swali: Pete za ndoa!!

Ipyanah

Member
Jul 15, 2009
98
37
Members, ni kwa nini pete za ndoa huvaliwa mkono wa kushoto na kidole cha nne tu??
 
Mwanamke alipoumbwa kutoka kwa mwanaume alichukuliwa ubavuni mwa mwanaume(kushoto)na pete ni kama ishara ya uhaminifu kwa wanandoa mpaka kufa..kwenye kila hari,shida,magonjwa,njaa,utajiri,furaha.n.k.

na uvaliwa kidole cha nne kama ijulikanavyo na wengi kidole cha pete,kwa sababu kidole hicho hakina shughuli nyingi kama vidole vingine kwenye ufanyaji wa kazi..na pia ni kidole cha pili kwa ukubwa kama ishara ya wapili(mpenzi)ndiyo msaidizi wako

watakuja wengine..
 
Pete huvaliwa kidole cha nne cha mkono wa kushoto kwa sababu;

Kwenye historia ya kigiriki na kirumi ya zamani (Grecian-Roman mythology) mungu jua (Apolo) alikuwa akiheshimiwa sana. Sasa philosophers walikuwa wakiamini wakati huo kwamba kidole hicho cha nne cha mkono wa kushoto kilikuwa tofauti na vingine kwa sababu kina mshipa wa damu unaotoka moyoni moja kwa moja (Sijawahi kujua kama walikuwa sahihi ama sivyo)

Kwa sababu walikuwa wakimuomba Mungu Apolo alinde ndoa zao, yeye ni mungu jua hivyo alama yake ikawa ni hiyo pete ya gold (It must be gold to symbolize the sun) ni lazima awekwe kwenye hicho kidole ili ulinzi wake uende moja kwa moja moyoni bila kupitia popote (So again it must be that specific finger)

Kwa wakristo wanaong'a ng'ania hizo pete, hakuna muongozo kwenye biblia unaoonesha kwa uhakika kwamba pete lazima iwekwe kwenye kidole hicho na lazima iwe ya gold, hayo ni mapokeo ya kipagani.
Unfortunately wengi hawajui na huingia tu kwenye huo utamaduni kwa kuiga.
 
Pete huvaliwa kidole cha nne cha mkono wa kushoto kwa sababu;

Kwenye historia ya kigiriki na kirumi ya zamani (Grecian-Roman mythology) mungu jua (Apolo) alikuwa akiheshimiwa sana. Sasa philosophers walikuwa wakiamini wakati huo kwamba kidole hicho cha nne cha mkono wa kushoto kilikuwa tofauti na vingine kwa sababu kina mshipa wa damu unaotoka moyoni moja kwa moja (Sijawahi kujua kama walikuwa sahihi ama sivyo)

Kwa sababu walikuwa wakimuomba Mungu Apolo alinde ndoa zao, yeye ni mungu jua hivyo alama yake ikawa ni hiyo pete ya gold (It must be gold to symbolize the sun) ni lazima awekwe kwenye hicho kidole ili ulinzi wake uende moja kwa moja moyoni bila kupitia popote (So again it must be that specific finger)

Kwa wakristo wanaong'a ng'ania hizo pete, hakuna muongozo kwenye biblia unaoonesha kwa uhakika kwamba pete lazima iwekwe kwenye kidole hicho na lazima iwe ya gold, hayo ni mapokeo ya kipagani.
Unfortunately wengi hawajui na huingia tu kwenye huo utamaduni kwa kuiga.

lile zoezi letu likifanikiwa mimi utanivalisha kwenye dole gumba!:bathbaby:
 
well put petcash..am trying to find evidnece to that but my anatomy is almost too shallow!but what i know is that the belief is a fallacy!
 
Pete huvaliwa kidole cha nne cha mkono wa kushoto kwa sababu;

Kwenye historia ya kigiriki na kirumi ya zamani (Grecian-Roman mythology) mungu jua (Apolo) alikuwa akiheshimiwa sana. Sasa philosophers walikuwa wakiamini wakati huo kwamba kidole hicho cha nne cha mkono wa kushoto kilikuwa tofauti na vingine kwa sababu kina mshipa wa damu unaotoka moyoni moja kwa moja (Sijawahi kujua kama walikuwa sahihi ama sivyo)

Kwa sababu walikuwa wakimuomba Mungu Apolo alinde ndoa zao, yeye ni mungu jua hivyo alama yake ikawa ni hiyo pete ya gold (It must be gold to symbolize the sun) ni lazima awekwe kwenye hicho kidole ili ulinzi wake uende moja kwa moja moyoni bila kupitia popote (So again it must be that specific finger)

Kwa wakristo wanaong'a ng'ania hizo pete, hakuna muongozo kwenye biblia unaoonesha kwa uhakika kwamba pete lazima iwekwe kwenye kidole hicho na lazima iwe ya gold, hayo ni mapokeo ya kipagani.
Unfortunately wengi hawajui na huingia tu kwenye huo utamaduni kwa kuiga.

Na hayo sio maudhui ya bibilia wala haiukuandikwa ili itoe maelekezo ya mambo kama hayo....
 
Fallacy!! Well, but I am sure you will make heads turn if you wore your wedding ring on another finger, something to do with the Sun! and Gold! and a vein! lol....
 
Pete huvaliwa kidole cha nne cha mkono wa kushoto kwa sababu;

Kwenye historia ya kigiriki na kirumi ya zamani (Grecian-Roman mythology) mungu jua (Apolo) alikuwa akiheshimiwa sana. Sasa philosophers walikuwa wakiamini wakati huo kwamba kidole hicho cha nne cha mkono wa kushoto kilikuwa tofauti na vingine kwa sababu kina mshipa wa damu unaotoka moyoni moja kwa moja (Sijawahi kujua kama walikuwa sahihi ama sivyo)

Kwa sababu walikuwa wakimuomba Mungu Apolo alinde ndoa zao, yeye ni mungu jua hivyo alama yake ikawa ni hiyo pete ya gold (It must be gold to symbolize the sun) ni lazima awekwe kwenye hicho kidole ili ulinzi wake uende moja kwa moja moyoni bila kupitia popote (So again it must be that specific finger)

Kwa wakristo wanaong'a ng'ania hizo pete, hakuna muongozo kwenye biblia unaoonesha kwa uhakika kwamba pete lazima iwekwe kwenye kidole hicho na lazima iwe ya gold, hayo ni mapokeo ya kipagani.
Unfortunately wengi hawajui na huingia tu kwenye huo utamaduni kwa kuiga.

Inaelekea wagiriki walikua madaktari wazuri kama tangu enzi hizo, kama waliweza kujua kidole kimoja tu katika mkono wa kushoto kina mshipa unaenda hadi kwenye moyo... Anyways, naomba niulize tena, Je wa afrika!! Wabantu, tulitumia pete kama ishara ya ndoa ama hii pete ilikuja baada ya wamisionari kuleta utamaduni wa ndoa ya kikanisa?
 
Mwanamke alipoumbwa kutoka kwa mwanaume alichukuliwa ubavuni mwa mwanaume(kushoto)na pete ni kama ishara ya uhaminifu kwa wanandoa mpaka kufa..kwenye kila hari,shida,magonjwa,njaa,utajiri,furaha.n.k.

na uvaliwa kidole cha nne kama ijulikanavyo na wengi kidole cha pete,kwa sababu kidole hicho hakina shughuli nyingi kama vidole vingine kwenye ufanyaji wa kazi..na pia ni kidole cha pili kwa ukubwa kama ishara ya wapili(mpenzi)ndiyo msaidizi wako

watakuja wengine..

Wangevaa wanawake tu kama sababu ni ubuni wa kushoto, Kwa wanaume inakuaje?
Mambo ya kizungu tu haya.....
 
lile zoezi letu likifanikiwa mimi utanivalisha kwenye dole gumba!:bathbaby:
Usijali bibie ntakuvisha pete ya alminium kwenye kidole cha mwisho kabisa ili iwe ndogo na isiyo na garama kubwa- probably should cost 10,000/- tu.
 
Inaelekea wagiriki walikua madaktari wazuri kama tangu enzi hizo, kama waliweza kujua kidole kimoja tu katika mkono wa kushoto kina mshipa unaenda hadi kwenye moyo... Anyways, naomba niulize tena, Je wa afrika!! Wabantu, tulitumia pete kama ishara ya ndoa ama hii pete ilikuja baada ya wamisionari kuleta utamaduni wa ndoa ya kikanisa?
Kuna ukristo uliokuwa unasambaa na tamaduni hizo za kirumi na kigiriki na kabla haujaja afrika ushamiri sana nchi za ulaya...so wamisionary wengi na wao walipokea na kuja kutusambazia.
Tamaduni nyignine za kipagani ni kama vile;
1) Father Christmas (was originally a child eating monster to whom people slaughtered their own children to offer sacrifice to him. Then he was polished to be a children loving old man but still same devil)
2) Christmas trees
3) Easter bunny, Easter eggs
 
Pete ni utamaduni tu wa kizungu, wafrika, warabu na wahindi wakoamua kuwaiga kwa sababu washamba.
 
Pete huvaliwa kidole cha nne cha mkono wa kushoto kwa sababu;

Kwenye historia ya kigiriki na kirumi ya zamani (Grecian-Roman mythology) mungu jua (Apolo) alikuwa akiheshimiwa sana. Sasa philosophers walikuwa wakiamini wakati huo kwamba kidole hicho cha nne cha mkono wa kushoto kilikuwa tofauti na vingine kwa sababu kina mshipa wa damu unaotoka moyoni moja kwa moja (Sijawahi kujua kama walikuwa sahihi ama sivyo)


Du! mshipa unaenda moja kwa moja kwenye moyo? Hiyo inaitwa vein gani? Phalango-cardial vein au? You just made my day!
 
Baba Mwanaasha amevaa mikono yote miwili..!sijui inamaana gani?
Vox popoli,Vox dei"
 
Du! mshipa unaenda moja kwa moja kwenye moyo? Hiyo inaitwa vein gani? Phalango-cardial vein au? You just made my day!
Mkuu Bovidae, as I said ancient Greek/ Roman philosophers believed that and I further clarified I don't know whether that is correct or not...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom