Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,967
- 32,259
Jibu ni kwamba panya atakufa kwa kukosa hewa ya oksijeni
Nawe Usingetoa jibu mapema,
Ili Tuone jinsi vidume vya ChitChat vinavyopigwa ngwara na ChemshaBongo.
Chezeiya!!!
Wanawake Tuko Pembeni,kila mtu anamuangalia Laazizi wake jinsi anavyotolewa KnockOut na Chemsha Bongo.