Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,957 93,937 Sep 20, 2012 #1 "Panya ukimfungia kwenye box na kipande cha nyama kwa muda mrefu, je nini kitatokea?" Majibu yenu wana Chit Chat
"Panya ukimfungia kwenye box na kipande cha nyama kwa muda mrefu, je nini kitatokea?" Majibu yenu wana Chit Chat
tatanyengo JF-Expert Member Mar 30, 2011 1,134 280 Sep 21, 2012 #5 Panya atakula nyama, baada ya muda panya atakufa kwa njaa.
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,779 Sep 21, 2012 #8 Duzente Siqwente said: nyama italiwa na panya.... Click to expand... Una uhakika gani kama ataila ? Kama paka mwenyewe Rasi !
Duzente Siqwente said: nyama italiwa na panya.... Click to expand... Una uhakika gani kama ataila ? Kama paka mwenyewe Rasi !
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,957 93,937 Sep 21, 2012 Thread starter #9 andybird314 said: panya ataliwa na nyama Click to expand... duh hiyo nyama imekuwa ya zombie!
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,957 93,937 Sep 21, 2012 Thread starter #10 Catherine said: Harufu kali ya kuoza. Click to expand... yaani nyama ioze wakati mzee mzima yupo nayo ndani ya boksi
Catherine said: Harufu kali ya kuoza. Click to expand... yaani nyama ioze wakati mzee mzima yupo nayo ndani ya boksi
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,957 93,937 Sep 21, 2012 Thread starter #11 Duzente Siqwente said: nyama italiwa na panya.... Click to expand... mmh umepata nusu maksi...
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,957 93,937 Sep 21, 2012 Thread starter #12 tatanyengo said: Panya atakula nyama, baada ya muda panya atakufa kwa njaa. Click to expand... umepata nusu maksi...na bado kidogo tu ungepata alama moja
tatanyengo said: Panya atakula nyama, baada ya muda panya atakufa kwa njaa. Click to expand... umepata nusu maksi...na bado kidogo tu ungepata alama moja
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,957 93,937 Sep 21, 2012 Thread starter #13 data said: Kama ni kweli basi tumekwisha.... Click to expand... ni kweli mkuu hilo swali lina jibu, nilisikia mtoto akihojiwa Radio One na akataja swali analolikumbuka na akalipa jibu
data said: Kama ni kweli basi tumekwisha.... Click to expand... ni kweli mkuu hilo swali lina jibu, nilisikia mtoto akihojiwa Radio One na akataja swali analolikumbuka na akalipa jibu
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,957 93,937 Sep 21, 2012 Thread starter #14 TANMO said: Panya atageuka Paka.... Click to expand... tehe tehe tehe ...
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,957 93,937 Sep 21, 2012 Thread starter #15 Judgement said: Una uhakika gani kama ataila ? Kama paka mwenyewe Rasi ! Click to expand... panya ana misokoto kichwani si mchezo...
Judgement said: Una uhakika gani kama ataila ? Kama paka mwenyewe Rasi ! Click to expand... panya ana misokoto kichwani si mchezo...
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,957 93,937 Sep 21, 2012 Thread starter #16 Jibu ni kwamba panya atakufa kwa kukosa hewa ya oksijeni
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Sep 21, 2012 #17 watu8 said: Jibu ni kwamba panya atakufa kwa kukosa hewa ya oksijeni Click to expand... hahahahahaaaaa...
watu8 said: Jibu ni kwamba panya atakufa kwa kukosa hewa ya oksijeni Click to expand... hahahahahaaaaa...
Lukansola JF-Expert Member Sep 5, 2010 5,435 1,597 Sep 21, 2012 #18 watu8 said: Jibu ni kwamba panya atakufa kwa kukosa hewa ya oksijeni Click to expand... mtihani ni multiple choice tupe na majibu mengine yaliyokuwepo tupime.
watu8 said: Jibu ni kwamba panya atakufa kwa kukosa hewa ya oksijeni Click to expand... mtihani ni multiple choice tupe na majibu mengine yaliyokuwepo tupime.
Arushaone JF-Expert Member Mar 31, 2012 15,136 13,258 Sep 21, 2012 #19 Kitu cha kwanza panya atatia uoga na baada ya muda akiona kumetulia anakula nyama yote then atatoboa box then atachapa mwendo. Weka tick chap....
Kitu cha kwanza panya atatia uoga na baada ya muda akiona kumetulia anakula nyama yote then atatoboa box then atachapa mwendo. Weka tick chap....