Salanga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 364
- 44
Wakuu habari zenu.
Kuna vyuo(vya afya) vina utaratibu wa kuanza kutoa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wake katika speciality husika mfano GINECOLOGY,NEUROSURGERY n.k wakati wakisoma first degree(MD).Lengo ni kukuza utaalamu wa mhusika ili baadaye aweze kufanya speciality kirahisi.Katika chuo nilipoona hii program inaitwa "student assistant" .Wanafunzi wanaosoma program zinazohusiana za academics kama vile Physiology huwa lecturers mara tu wanapomaliza MD.
Nimeuliza swala hili wizara ya elimu juu ya uwepo wa program kama hii Tanzania AU VALIDITY yake lakini walinielekezea wizara ya afya na TCU.
Sasa kupitia jukwaa hili la watu wenye hekima napenda kufahamu iwapo hii inaweza kuwa VALID Tanzania maana baada ku graduate huku wanatoa na vyeti kabisa.
Kuna vyuo(vya afya) vina utaratibu wa kuanza kutoa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wake katika speciality husika mfano GINECOLOGY,NEUROSURGERY n.k wakati wakisoma first degree(MD).Lengo ni kukuza utaalamu wa mhusika ili baadaye aweze kufanya speciality kirahisi.Katika chuo nilipoona hii program inaitwa "student assistant" .Wanafunzi wanaosoma program zinazohusiana za academics kama vile Physiology huwa lecturers mara tu wanapomaliza MD.
Nimeuliza swala hili wizara ya elimu juu ya uwepo wa program kama hii Tanzania AU VALIDITY yake lakini walinielekezea wizara ya afya na TCU.
Sasa kupitia jukwaa hili la watu wenye hekima napenda kufahamu iwapo hii inaweza kuwa VALID Tanzania maana baada ku graduate huku wanatoa na vyeti kabisa.