GodfreyTajiri
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 986
- 655
inasikitisha sana, yaani fuso tatu zinaongozana kuin gia kia ambao ni uwanja wa ndege wa kimataifa
bila chombo chochote cha usalama (ispokuwa askari polisi moja uwanjani) kushtuka!!
this is a huge intelligence failure. kwani hizo fuso zingeweza kuwa zimesheheni mamluki ambao wamepewa jukumu
la kukamata kia.
mola tusaidie
bila chombo chochote cha usalama (ispokuwa askari polisi moja uwanjani) kushtuka!!
this is a huge intelligence failure. kwani hizo fuso zingeweza kuwa zimesheheni mamluki ambao wamepewa jukumu
la kukamata kia.
mola tusaidie