punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Hivi huyu hussein na yule mama aliyekuwa anauza wanyama pale ikulu miaka ya nyuma wana uhusiano wowote?! Anakumbushia alichoona wazazi wanafanya!! Ndege ya jeshi la nje haiwezi kutua nchini bila jeshi letu/wizara ya ulinzi kuhusika. Huyu mtu huyu ni JANGA KWA TAIFA, msijesema hatukujua...Kwa kuleta hii kesi mahakamani, serikali imekiri kuwa kuna ndege iliingia nchini aidha kwa kufuata sheria au kinyume cha sheria. Lakini ingekuwa ni ndege ya kiraia hilo lingekuwa kashfa tosha lakini kuwa ni ndege ya kijeshi ni kashfa mabayo kama waandishi wetu wangekuwa na ujasiri wangetaka maelezo toka JWTZ.. muone watu wanavyoweza kujiuma uma meno!! Hii ni kashfa kubwa kweli ambayo Dr. Hussein Mwinyi anatakiwa aitolee maelezo.