payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Ni Swali aliloulizwa kuhusu Sura ya Serikali yake ijayo iwapo atapewa ridhaa ya kuliongoza taifa kwa awamu nyingine, na je waTZ watarajie nini kipya katika utekelezaji wa malengo ya millenia?
Jamaa alishikwa na Kigugumizi cha ajabu!
Kwa mtizamo wa wasomi:
1. Mtu kama Rais Kikwete anayemaliza muda wake anapopatwa na kigugumizi wakati wa kujibu maswali ni Dalili ya Uwongo
2. Kikwete anapoongea hoja nzito huku kainama, haitizami hadhira yake ni Dalili pia ya Uwongo ( Dishonesty)
Jamaa alishikwa na Kigugumizi cha ajabu!
Kwa mtizamo wa wasomi:
1. Mtu kama Rais Kikwete anayemaliza muda wake anapopatwa na kigugumizi wakati wa kujibu maswali ni Dalili ya Uwongo
2. Kikwete anapoongea hoja nzito huku kainama, haitizami hadhira yake ni Dalili pia ya Uwongo ( Dishonesty)