Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Damned if you do , damned if you don't..
Na membe aachie uwaziri wa mambo ya nje kwa kumshauri vibaya JK kukutana na uhuru Kenyatta na eugine wa malwa hivyo kuibua mgogoro wa kidiplomasia ndani ya Kenya na katika jumuia ya kimataifa. Mwisho nashauri Angalia kanuni za Bunge Toleo la mwaka 2007, ili pia uangalie majukumu ya Kamati ya Bunge ya nje ulinzi na usalama na yapi, Aidha Kamati hii kwa mujibu wa kanuni hufanya kazi zake kwa faragha, hivyo si lazima lowassa aongee hadharani.
Yote yanayotokea yeye kimya