Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
- Thread starter
- #21
Kongosho,sifa na heshima bado ni ujinga.Nasema hivyo kwa sababu,hata heshima au sifa inatofautiana kutoka jamii moja au nyingine ndo maana hao uliotolea mfano nao wana mtazamo wao na kuna wakati inayodhaniwa ni sifa au heshima inaweza isiwe chochote au kuwa kinyume,lakini utu ni kwa kila mwanadamu hautokani au hauthamanishwi na mtazamo wa jamii yoyote!
Last edited by a moderator: