Swali la Shyrose kwa Sophia Simba lazua kasheshe katika Mkutano Mkuu UWT

images
Jaffarhymes sijui kwa nini alikipiga chini hiki kifaa. Hizi Paja tayari mate yananitoka!! Hata kama mzee but "analipa"
 
ubaya wa hilo swali uko wapi?
Au ndo ubabe wa sophia tu?

Mkuu hata mimi sijaona ubaya wa swali. Nadhani hili la kuzomewa kwa Shyrose linaonyesha jinsi Sofiaai yojijengea.uwigo ndani ya UWT na wafuasi wake hawataki aguswe. Pili huenda hii inaashiria makundi humo UWT. Huenda Shy alikuwa kundi lingine na akawa anajulikana wazi kuwa hayupo kwa Simba na hivyo alvyouliza swali ikabdi wamzomee kumkata makali.
 
Hilo swali mbona lilikuwa mtaji mzuri kwa Sophia Simba kama kweli kuna mazuri aliyoyafanya kwa UWT.Alitakiwa aanze kueleza aliyoyafanya na bila shaka ndio yangemuongezea kura kama kweli walikuwa wanachagua mtu mwenye uwezo na sio kuenda kwenye uchaguzi ukiwa tayari umenunuliwa umchague nani na wala si kuangalia uwezo na historia ya mgombea.
 
Mpaka sasa najiuliza KOSA LA SWALI hilo ni nini? KWA NILIVYOONA MIPASHO ILE, UWT Haina tofauti na TAARABU...WANAWAKE BADO SANA KWA UONGOZI WA NCHI HII.WANABEBWA TU.NIMEWADHARAU SANA
 
Kweli tanzania haita jengeka kama sophia simba atakuwa na majibu kama alivyo mjibu shy-Rose Bhanji.
 
Sicho hicho Shyrose alichokisema.
Kuna source nyingine hapa JF iliyokuwa na swali kama hilo. Let us make an assumption kuwa hilo si swali la msingi, hebu soma majibu hapa chini uniambie yanaweza kuwa yamejibu swali gani, ni sahihi kwa mwenyekiti wa taifa kuja na majibu kama hayo, na je majibu hayo yanaonyesha uwepo wa fikra achilia mbali weledi.
''
naonekana aliyeuliza swali hajakomaa katika siasa za nchi, ndio maana ameambulia kuzomewa na wajumbe wa mkutano huu. Habwatuki bungeni au majukwaani kwa vile yeye ni serikali, na hata mbunge wa CCM hapaswi kukikosoa chama chake. Mimi si mithili ya upinzania kukaa na kukiosoa chama napaswa kukitetea. Anayesema Sofia Simba hajafanya kitu anajidanganya kwani wapiga kura wako kwenye matawi, kata, wilaya na mikoa, hao ndio wapiga kura wa chama na mimi kama mwenyekiti wa UWT nilijiimarisha katika ngazi za chini
''
 
Hivu mama simba akipewa uwaziri wa Israel , dunia itakuwaje? au atadumu kwa siku ngapi katika ofisi?
 
Naomba nikiri hadharani kuwa kati ya watu ambao wanahoji juu ya uwezo wa huyu binti kutuwakirisha katika jumba kubwa la watu weledi mkubwa la EAC, hakika ni mimi. kwa ufupi hapo ndip[o utakapo jua viongozi tulionao kuwa ni vilaza wakubwa. Mtu kama Shy alitakiwa awe mpiga debe kwenye tawi la KATA kutokana na historia ya jumla ya maisha yake na uwezo wake wa kisiasa.
 
Mimi nimependa viatu vya Shemeji yangu, manake alitakiwa avivae sehemu yenye baridi kali, yeye kavivaa bongo matokeo yake ni fangas kwenda mbele
 
Safari ni ndefu sana, somo hapa nafurahi Prof. Tibaijuka kasomesha suala la kuruhusu maswali ya kila aina.

Sijafurahi kwamba Shyrose kaweka kutetea chama kama mzizi wa swali, kwani hata ma-Nazi walikuwa na chama. Lakini anaweza kujitetea kwamba kwake yeye chama chake ndicho kina sera nzuri na kutetea chama kunaendana na kutetea sera nzuri.

Sijafurahia majibu ya Sophia Simba kwa sababu yameonekana kujikita zaidi katika kumshambulia aliyeuliza swali zaidi ya kujibu swali. Sifa nzuri za uongozi ni pamoja na kuweza kukabili maswali kwa rehema na kuonyesha jitihada za kutaka kumleta kila mtu - hata wasiokupenda- upande wako. Sasa kwa hili Sophia Simba kaonyesha kushindwa kwa sababu kamshambulia muuliza swali katika kile walatini walichokiita "argumentum ad hominem" (kuacha hoja na kumshambulia mleta hoja), ishara ya kukosa busara ya kuangalia maswla, sio mtu.

Halafu hata anapojaribu kuchomekea a semblance of an answer huko mwisho, anaonekana incoherent kwa sababu kashaanza kuongelea siasa za nchi, halafu hapo hapo anaonekana ku spin 360 degrees anaongelea umuhimu wa wapiga kura walio kwenye matawi kata wilaya na mikoa, anachanganya mwana CCM kumuhoji mwana CCM mwingine katika harakati za uchaguzi na mwana CCM kukihoji chama, halafu hapo hapo ana ji contradict kwa kumrudishia vijembe mwana CCM mwenzake, na kuondoa hata uwezekano wa kuweza kujitetea kwa kusema kwamba mwana CCM hatakiwi kumsema mwana CCM mwenzake publicly.

Vurugu tupu, mpaka huyo Shyrose ambaye watu wanaweza kumuona mapepe ndo anaonekana the sane one!
 
Sophia Simba kaeleza wazi "wajumbe...wajumbe huyu muuliza swali kaja juzi juzi hapa tukampa ubunge wa Africa mashariki...hajui kitu huyu, ndiyo maana anauliza hili swali, kwa sababu hajui huku chini kinamama tumefanya mambo mengi, mambo makubwa...."

Pengine Shyrose amesahau kazi ya umoja wa wakinamama wa CCM. Jiulize kwa nini moto uwake kwa swali dogo tena ambalo ndiyo swali 'common' kwa mgombea yeyote duniani anayetetea kiti chake?

Hili swali la Shyrose lingeweza kushangiliwa sana ikiwa lingebadilishwa kidogo na kuwa "utatuhakikishiaje kuwa huku chini wanawake tutafanya kazi kubwa zaidi kama tulivyofanya kipindi cha uongozi wako uliopita?"

Kwani Shyrose hajui kuwa CCM inaimarishwa kuanzia chini, kwenye ngazi ya shina?
 
this uestion is among the very questions to SS. hivi huyu mama huwa anafanya nn zaid? kila siku anaaminisha watu ktk viti maalum tu na kamwe hatii moyo na kukitetea chama hata siku moja hata kwenye kampeni tu mmeah kumwona? labda kwakua alikuwa mke mdogo wa JK the great but kiukweli anabebewa tu wala hayuko kama ambavyo watu wanamsema she was hte best at her era but not today's era.
 
Shyrose hapaswi kuwa huko aliko, na bila shaka yupo huko kwa tamaa ya madaraka kama vijana wengine wanavyofanya. Wanakichukia CCM lakini kwa kuwa wanaamini bado kina nafasi ya kutawala basi wanakikimbilia ili wawe sehemu ya watawala ili kujinufaisha!! Tizama siku kikianguka wangapi watahamia ktk chama tawala cha wakati huo.
 
Shyrose hapaswi kuwa huko aliko, na bila shaka yupo huko kwa tamaa ya madaraka kama vijana wengine wanavyofanya. Wanakichukia CCM lakini kwa kuwa wanaamini bado kina nafasi ya kutawala basi wanakikimbilia ili wawe sehemu ya watawala ili kujinufaisha!! Tizama siku kikianguka wangapi watahamia ktk chama tawala cha wakati huo.

Nakataa kumshambulia mleta hoja na kukwepa hoja.

Hapaswi kuwa huko aliko kwa sababu gani? Hana haki ya kikatiba au vipi? Unampangia maisha?

Bila shaka yuko huko kwa tamaa ya madaraka? Una uhakika? Halafu mwanasiasa gani aliye katika national politics asiye na tamaa ya madaraka? Na kama hana tamaa ya madaraka anafanya nini katika national politics?

Unaposema "wanakichukia CCM" unakuwa kama huelewi kwamba CCM si chama kilicho "homogeneous" tena. Unaweza kumsoma kijana wa CCM ambaye anaonekana kuchukizwa na rushwa katika CCM kama ndugu yetu Mchambuzi, halafu ukaona makuwadi wa uharamia ndani ya hiyo hiyo CCM. Sasa mtu kama anaamini katika kubadili chama kutoka ndani - however impossible you think that is- kwa nini iwe dhambi kujaribu kufanya hivyo? After all the Godbless Lemas of the opposition are not inspiring people to flock to the opposition as a beacon of hope and true alternate to CCM. Wengine wanajionea ngoja tubaki na zimwi tulijualo labda tunaweza kubadili kimoja au viwili, what's wrong with that?

Hata kichaa anaweza kuuliza swali muhimu once in a blue moon.Sembuse Shyrose.
 
Last edited by a moderator:
Wote wale wale .. Simba hafai.... Kilango hafai....

Ukija kwa Shyrose ndio kabisa.... wote hawa ni failures tu.... from their personal life to politics failures....

Hata wanaume wanawakimbia.... MACHAKUBIMBI...


UWT inataka wanawake kama MAMA TIBAIJUKA...
 
Back
Top Bottom