Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,424
- 85,868
Baada ya kujiuma uma jana naomba kumuuliza swali hili la miwsho tu; je kama suala hili liko mahakamani, wewe uliwezaje au ulipataje ujasiri wa kuitisha Press conference na kulizungumzia suala ambalo tayari liko "Mahakamani"? Je naweza kuhitimisha kuwa umekwepa kujibu hoja za Gwajima ambazo alitaka muanze kwa kumkamata Msangi?
Hivi ni lini jeshi lako lilipata sifa njema nasi tukajivunia?
Hivi ni lini jeshi lako lilipata sifa njema nasi tukajivunia?