Feyanga
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 223
- 89
Mbona unalia?
Nalia kwa furaha...
Mbona unalia?
bSisi sote ni binadamu na kila mmoja wetu ana mapungufu yake,mi naomba niulize kijiswali hiki: Hivi ushawahi kuwa na mahusiano na mtu na na dada yake? na kama wewe ni mwanamke ishawahi kukutokea ukatembea na mtu na kakake? just in case mlibambwa ilikuwaje?
Nalia kwa furaha...
Safina una akili sana. Yaani hiyo ndio silaha pekee inayoweza kukuepusha na majaribu. Na ndio silaha niliyowahi kuitumia baada ya kutiwa majaribuni sana na mke wa rafiki yangu. Kwa kitendo cha kumhurumia mshkaji kwamba nitakuwa namchora, nilifanikiwa kuyashinda majaribu.
b
Mimi nimewahi. Na mara zote ambazo nimewahi mwanamke ndiye aliyeanza chokochoko.....!!! Dada mtu kasafiri, mdogo mtu anamwomba namba yangu ya simu ili aniombe nikamtoe OUT. Nikamwambia asimpe namba yangu kwa kuwa sitaki kuwa na mazoea na mdogo wake kwa kuwa nimeshamwona kwamba ni mtoto wa mjini, mjanja mjana hivi. Lakini dada mtu alipobanwa sana na mdogo wake mwisho akampa namba yangu halafu eti ananionya mimi kama mdogo wake anatia majaribuni nisikubali.....Nilimtafuna mdogo mtu kwa hasira tu kwa kuwa nishamkatalia dada yake kumpa namba yangu ya simu!
Safina una akili sana. Yaani hiyo ndio silaha pekee inayoweza kukuepusha na majaribu. Na ndio silaha niliyowahi kuitumia baada ya kutiwa majaribuni sana na mke wa rafiki yangu. Kwa kitendo cha kumhurumia mshkaji kwamba nitakuwa namchora, nilifanikiwa kuyashinda majaribu.
Masa mbona tena unanipa kizunguzungu? Ina maana unamwonea rafiki yako huruma kuliko mke wako? Mwanzoni umesema ulimwonea huruma rafiki yako, na hapa ulimtafuna mdogo wa mke wako yaani unamwonea huruma rafiki yako kuliko mkeo kaka masa jamani!!!!! Mbona nilikuamini na sasa unanifanya nikuondolee uaminifu au post zote mbili unatania? Haya sasa naomba uniambie ipi unatania na ipi ni ya ukweli?
Ina maana huwa wanafanya ngono zembe? Sijaelewa!
Huko ndani wanajua wao, lakini wanafanya ngono.
b
Mimi nimewahi. Na mara zote ambazo nimewahi mwanamke ndiye aliyeanza chokochoko.....!!! Dada mtu kasafiri, mdogo mtu anamwomba namba yangu ya simu ili aniombe nikamtoe OUT. Nikamwambia asimpe namba yangu kwa kuwa sitaki kuwa na mazoea na mdogo wake kwa kuwa nimeshamwona kwamba ni mtoto wa mjini, mjanja mjana hivi. Lakini dada mtu alipobanwa sana na mdogo wake mwisho akampa namba yangu halafu eti ananionya mimi kama mdogo wake anatia majaribuni nisikubali.....Nilimtafuna mdogo mtu kwa hasira tu kwa kuwa nishamkatalia dada yake kumpa namba yangu ya simu!
:dance::dance::dance: kwa mtindo huu ndio sababu umebaki bachelor mwenyewe.
Sisi sote ni binadamu na kila mmoja wetu ana mapungufu yake,mi naomba niulize kijiswali hiki: Hivi ushawahi kuwa na mahusiano na mtu na na dada yake? na kama wewe ni mwanamke ishawahi kukutokea ukatembea na mtu na kakake? just in case mlibambwa ilikuwaje?
wewe ni balaa.....yaani ukawa unabadilisha windows tu....ukatoa windows xp ukaweka windows 7.pc ile ile ( ndugu)
Nalia kwa furaha...
Sisi sote ni binadamu na kila mmoja wetu ana mapungufu yake,mi naomba niulize kijiswali hiki: Hivi ushawahi kuwa na mahusiano na mtu na na dada yake? na kama wewe ni mwanamke ishawahi kukutokea ukatembea na mtu na kakake? just in case mlibambwa ilikuwaje?
kwa hiyo kwa mtu wa mbali kama Ivuga hivi au Aspirin inawezekana?Sijawahi, naomba Mungu aniepushie nisiwahi. Huwa nashangaa ni vipi mtu anatembea na rafiki ya mume wake achilia mbali kaka/dada. Na unajua kwa nini sitathubutu, namwoneaga huruma mume wangu naona kama atachoreka, rafiki yake/kaka yake/ mdogo wake anifanyie kama yeye anavyonifanyia, halafu ikitokea siku moja tuwe wote hapo yaani mume wangu na huyo mwizi, naona kama baba D wangu atakapokuwa anaongea kitu chochote hata kama kina point huyo mwizi atakuwa anawazia kichwani kwake, haaahhh wapi wewe kitu gani? unachokulaga na mimi ndo hichohicho ninakula sasa kama ni kitamu au ni kichungu mmhhh!!!! Hapana sijisikii vizuru kabisa kutenda hichi kitu kwa mtu wetu wa karibu ambaye najua kwa vyovyote vile ipo siku tutajumuika wote watatu, sitaki na nakemea kwa jina la YESU huyu pepo apishe mbali kabisa na upeo wa macho yangu.
toba yarabi!Mkuu hili siyo swali la kizushi, yapo na yanatokea japo ni kwa uchache sana.
Niliwahi kusikia kutoka kwa mtu ninaye mwamini, yupo. Hawa walikuwa na mazoea toka utotoni, kaka na dada wanalala kitanda kimoja, wanaoga pamoja na walikuwa na ukaribu sana. Huo mchezo walianza enzi za utoto na walipokuwa wakubwa bado wanaendelea.
Mbaya zaidi jamaa kaoa na dada yake kaolewa, wakikutana huwa wanakuwa karibu sana na hata wanajifungia. Wifi yake huwa hana wasiwasi nao hajui nyuma ya pazia kuna nini.