Swali la kizushi........

avatar3710_2.gif


Mbona unalia?

Nalia kwa furaha...
 
Sisi sote ni binadamu na kila mmoja wetu ana mapungufu yake,mi naomba niulize kijiswali hiki: Hivi ushawahi kuwa na mahusiano na mtu na na dada yake? na kama wewe ni mwanamke ishawahi kukutokea ukatembea na mtu na kakake? just in case mlibambwa ilikuwaje?
b
Mimi nimewahi. Na mara zote ambazo nimewahi mwanamke ndiye aliyeanza chokochoko.....!!! Dada mtu kasafiri, mdogo mtu anamwomba namba yangu ya simu ili aniombe nikamtoe OUT. Nikamwambia asimpe namba yangu kwa kuwa sitaki kuwa na mazoea na mdogo wake kwa kuwa nimeshamwona kwamba ni mtoto wa mjini, mjanja mjana hivi. Lakini dada mtu alipobanwa sana na mdogo wake mwisho akampa namba yangu halafu eti ananionya mimi kama mdogo wake anatia majaribuni nisikubali.....Nilimtafuna mdogo mtu kwa hasira tu kwa kuwa nishamkatalia dada yake kumpa namba yangu ya simu!
 
Safina una akili sana. Yaani hiyo ndio silaha pekee inayoweza kukuepusha na majaribu. Na ndio silaha niliyowahi kuitumia baada ya kutiwa majaribuni sana na mke wa rafiki yangu. Kwa kitendo cha kumhurumia mshkaji kwamba nitakuwa namchora, nilifanikiwa kuyashinda majaribu.

Yaani huwezi amini lakini huwa naona kama mume wangu mpenzi atachoreka!!!! Harafu huwa hamna jipya huko kwenye wizi, sana sana ni kuchorana tu yaani ebu fikiria kama ungekubali kuwa na huyo shemeji yako, ujue anavyofanyaga mambo! kama anajua au hajui vyote vyote bado tu ukimuona jamaa yake lazima tu utafikiri jinsi ambavyo huwa mna-kwanjuka au sio masa mmhhh!!! kwa kweli kitendo huwa nakiona kama ni uchafu sana, bado nasisitiza kwamba Mwenyezi Mungu aniepushe.
 
Safina una akili sana. Yaani hiyo ndio silaha pekee inayoweza kukuepusha na majaribu. Na ndio silaha niliyowahi kuitumia baada ya kutiwa majaribuni sana na mke wa rafiki yangu. Kwa kitendo cha kumhurumia mshkaji kwamba nitakuwa namchora, nilifanikiwa kuyashinda majaribu.
b

Mimi nimewahi. Na mara zote ambazo nimewahi mwanamke ndiye aliyeanza chokochoko.....!!! Dada mtu kasafiri, mdogo mtu anamwomba namba yangu ya simu ili aniombe nikamtoe OUT. Nikamwambia asimpe namba yangu kwa kuwa sitaki kuwa na mazoea na mdogo wake kwa kuwa nimeshamwona kwamba ni mtoto wa mjini, mjanja mjana hivi. Lakini dada mtu alipobanwa sana na mdogo wake mwisho akampa namba yangu halafu eti ananionya mimi kama mdogo wake anatia majaribuni nisikubali.....Nilimtafuna mdogo mtu kwa hasira tu kwa kuwa nishamkatalia dada yake kumpa namba yangu ya simu!


Masa mbona tena unanipa kizunguzungu? Ina maana unamwonea rafiki yako huruma kuliko mke wako? Mwanzoni umesema ulimwonea huruma rafiki yako, na hapa ulimtafuna mdogo wa mke wako yaani unamwonea huruma rafiki yako kuliko mkeo kaka masa jamani!!!!! Mbona nilikuamini na sasa unanifanya nikuondolee uaminifu au post zote mbili unatania? Haya sasa naomba uniambie ipi unatania na ipi ni ya ukweli?
 
Safina una akili sana. Yaani hiyo ndio silaha pekee inayoweza kukuepusha na majaribu. Na ndio silaha niliyowahi kuitumia baada ya kutiwa majaribuni sana na mke wa rafiki yangu. Kwa kitendo cha kumhurumia mshkaji kwamba nitakuwa namchora, nilifanikiwa kuyashinda majaribu.


Masa mbona tena unanipa kizunguzungu? Ina maana unamwonea rafiki yako huruma kuliko mke wako? Mwanzoni umesema ulimwonea huruma rafiki yako, na hapa ulimtafuna mdogo wa mke wako yaani unamwonea huruma rafiki yako kuliko mkeo kaka masa jamani!!!!! Mbona nilikuamini na sasa unanifanya nikuondolee uaminifu au post zote mbili unatania? Haya sasa naomba uniambie ipi unatania na ipi ni ya ukweli?


Safina, bado sijaoa. Haya yalitokea miaka kama mitano iliyopita nikiwa kwenye mahusiano yasiyo rasmi sana na mdada mmoja hivi. Siwezi kufanya hivyo kwa mke!
 
Mimi nimewahi. Na mara zote ambazo nimewahi mwanamke ndiye aliyeanza chokochoko.....!!! Dada mtu kasafiri, mdogo mtu anamwomba namba yangu ya simu ili aniombe nikamtoe OUT. Nikamwambia asimpe namba yangu kwa kuwa sitaki kuwa na mazoea na mdogo wake kwa kuwa nimeshamwona kwamba ni mtoto wa mjini, mjanja mjana hivi. Lakini dada mtu alipobanwa sana na mdogo wake mwisho akampa namba yangu halafu eti ananionya mimi kama mdogo wake anatia majaribuni nisikubali.....Nilimtafuna mdogo mtu kwa hasira tu kwa kuwa nishamkatalia dada yake kumpa namba yangu ya simu!

Aaah Kaka...Kwa hasira???hakuna kitu kama hiko..ulishindwa na shetani,the way it seems you saw it coming and yet you fell into trap...lololohh
 
b
Mimi nimewahi. Na mara zote ambazo nimewahi mwanamke ndiye aliyeanza chokochoko.....!!! Dada mtu kasafiri, mdogo mtu anamwomba namba yangu ya simu ili aniombe nikamtoe OUT. Nikamwambia asimpe namba yangu kwa kuwa sitaki kuwa na mazoea na mdogo wake kwa kuwa nimeshamwona kwamba ni mtoto wa mjini, mjanja mjana hivi. Lakini dada mtu alipobanwa sana na mdogo wake mwisho akampa namba yangu halafu eti ananionya mimi kama mdogo wake anatia majaribuni nisikubali.....Nilimtafuna mdogo mtu kwa hasira tu kwa kuwa nishamkatalia dada yake kumpa namba yangu ya simu!

:dance::dance::dance: kwa mtindo huu ndio sababu umebaki bachelor mwenyewe.
 
Sisi sote ni binadamu na kila mmoja wetu ana mapungufu yake,mi naomba niulize kijiswali hiki: Hivi ushawahi kuwa na mahusiano na mtu na na dada yake? na kama wewe ni mwanamke ishawahi kukutokea ukatembea na mtu na kakake? just in case mlibambwa ilikuwaje?


Bishanga hii nimeshuhudia ya mkaka kutembea hadi kuoa nyumba mmoja.. Dada mtu alikua si exposed kama mdogo wake... hivyo mdogo alivyoingia (tena kwa vitimbi) ndo alikua ana control mali zoote pamoja na huyo baba... Bahati mbaya huyo baba na mke mkubwa amefariki kwa maradhi mwaka juzi (walipishana miezi 3)... Mdogo alinyang'anywa kila kitu na wato wa mke mkubwa/dadake maana yeye (mdogo) hakuzaa - unajua tena wadada wa siku hizi na mambo ya usasa...
 
wewe ni balaa.....yaani ukawa unabadilisha windows tu....ukatoa windows xp ukaweka windows 7.pc ile ile ( ndugu)

we kaka acha tu halafu kama uliishawahi kufanya hii kitu utagundua hardware ni ileile sema software zinaachana mapigo tu!!!!
 
Bishanga (abashaija)!

Mimi nlishawahi kuwa na mahusiano na dada na mdogo wake - nyakati hizo za zamani.. Dada mtu na mimi tulikuwa tunasoma "O" level mkoani Kilimanjaro, shule tofauti tofauti though, kwahiyo katika harakati za kupanda TRENI & tukafahamiana and then boom! Mdogo mtu nilifahamiana naye shule ya msingi nilikuwa nimemtangulia madarasa kadhaa lakini alikuwa jirani kwahiyo ikawa hivyo...

Hii ilitokana na wazazi wetu(mimi na hao mabinti) kuoa wanawake zaidi ya mmoja kwahiyo - binti mdogo alikuwa anakaa kwa mama na binti mkubwa alikuwa anakaa kwa baba - na mimi nilisoma shule ya msingi nikiishi na baba na secondari nikiwa likizo nilienda kumsabai mama! Nilifahamu undugu wao baada ya kumdadisi sana binti mkubwa tukiwa kwenye TRENI kuelekea Moshi... Alikuwa na chuki sana na MAMA yake kiasi cha kutopenda hata kumtaja, lakini mwishowe aliponiambia kuwa Mama yake ni fulani na fulani ni mdogo wake wa "damu" ndiyo ulikuwa mwisho wangu na "wao"
 
Sisi sote ni binadamu na kila mmoja wetu ana mapungufu yake,mi naomba niulize kijiswali hiki: Hivi ushawahi kuwa na mahusiano na mtu na na dada yake? na kama wewe ni mwanamke ishawahi kukutokea ukatembea na mtu na kakake? just in case mlibambwa ilikuwaje?

Bishanga (abashaija)!

Hivi unamfahamu yule mwanasiasa mkongwe (jirani yako kule Ziwa Magharibi) hapa Bongo aliyefanya kazi na Mwalimu Nyerere alioa mtu na mdogo wake?
 
nilishawahi...nilianza na dada mtu then akawa ananisifia kwa mdogo wake na marafiki zake kwamba ninam-do vizuri sana (uvinza nipo...tigo nipo...blow job napenda) si ndio mdogo wake (baba mmoja,mama mmoja) akajitongozesha...nikala mzigo!!! frequency ya kula mdogo ikaongezeka maana alikuwa jobless. Zipo siku alikuwa anamsindikiza dada yake gheto kwangu nakula mzigo, mdogo mtu anaangalia movie sitting room then wanarudi home.....the same night mdogo mtu anakuja kulala kwangu!! dada mtu hajagundua hadi leo!! nimeachana nao maana wote wameolewa sasa na sitaki mke wa mtu
 
Sijawahi, naomba Mungu aniepushie nisiwahi. Huwa nashangaa ni vipi mtu anatembea na rafiki ya mume wake achilia mbali kaka/dada. Na unajua kwa nini sitathubutu, namwoneaga huruma mume wangu naona kama atachoreka, rafiki yake/kaka yake/ mdogo wake anifanyie kama yeye anavyonifanyia, halafu ikitokea siku moja tuwe wote hapo yaani mume wangu na huyo mwizi, naona kama baba D wangu atakapokuwa anaongea kitu chochote hata kama kina point huyo mwizi atakuwa anawazia kichwani kwake, haaahhh wapi wewe kitu gani? unachokulaga na mimi ndo hichohicho ninakula sasa kama ni kitamu au ni kichungu mmhhh!!!! Hapana sijisikii vizuru kabisa kutenda hichi kitu kwa mtu wetu wa karibu ambaye najua kwa vyovyote vile ipo siku tutajumuika wote watatu, sitaki na nakemea kwa jina la YESU huyu pepo apishe mbali kabisa na upeo wa macho yangu.
kwa hiyo kwa mtu wa mbali kama Ivuga hivi au Aspirin inawezekana?
 
Mkuu hili siyo swali la kizushi, yapo na yanatokea japo ni kwa uchache sana.

Niliwahi kusikia kutoka kwa mtu ninaye mwamini, yupo. Hawa walikuwa na mazoea toka utotoni, kaka na dada wanalala kitanda kimoja, wanaoga pamoja na walikuwa na ukaribu sana. Huo mchezo walianza enzi za utoto na walipokuwa wakubwa bado wanaendelea.

Mbaya zaidi jamaa kaoa na dada yake kaolewa, wakikutana huwa wanakuwa karibu sana na hata wanajifungia. Wifi yake huwa hana wasiwasi nao hajui nyuma ya pazia kuna nini.
toba yarabi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom