kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,751
- 594
Mkuu Buchanan hivi PCCB hakupewa Prosecutorial power kweli kwenye ile sheria yao ya 2007? Manake naona kuna baadhi ya kesi zinaendeshwa na waendesha mashitaka toka PCCB
Wanayo kwa kesi zinazoangukia kwenye saheria yao. Hiyo ya DPP inawawezesha kuprosecute makosa chini ya sheria nyinginezo