Swali la kizushi: Makao makuu ya DPP yako wapi na kwanini?

Usichanganye vitu tofauti.

Ikiwa hivyo mbona unasahau kina Maftah? unamjuwa Maftah wakati wa Nyerere na Anti corruption Squad yake, iliyokuwa chini ya UWT?

TAKUKURU imeanza wakati wa Kikwete. Full Stop. usitake kubisha kitoto.

Wewe ndo unabisha kitoto. kwani takukuru ilianza from nowhere? halafu ACS haijawahi kuwa UWT.
 
Uzushi wa swali hili uko kwenye "kwanini". Kwanini ofisi yako iko mjini, kwanini ofisi yako iko gorofa ya 3, kwanini kwanini kwanini...
 
Ningekuwa mimi ndio natoa miundo serikalini takukuru ingekuwa iko chini ya either CAG au DPP, kuwa independet kwa sisi tunaokutana nao mala nyingi tunayajua matatizo yake, usijekuta wazuia rushwa ndio namba moja kwa rushwa! Wangebadirisha structure ingekuwa nzuri saana
 
My my my! Gal u got guts and you are in a league of your own, u know that?:ban::ban:
Pindeni maneno mtakavyoyapinda wekeni maneno nnɾ ıuıɥɔ ıuıɥɔ nnɾ, ukweli unabaki kuwa ukweli. Jitihada binafsi za Kikwete ndio zinaibuwa haya madudu yote. Na juzi kawaziba midomo, sasa njooni na uzushi na kila kitu.

JMK anaendelea kuweka rikodi njema. Hakuna Rais bora aliyetokea Tanzania kabla yake, ya huko mbele ajuae ni Mungu.
 
Ningekuwa mimi ndio natoa miundo serikalini takukuru ingekuwa iko chini ya either CAG au DPP, kuwa independet kwa sisi tunaokutana nao mala nyingi tunayajua matatizo yake, usijekuta wazuia rushwa ndio namba moja kwa rushwa! Wangebadirisha structure ingekuwa nzuri saana


Kwangu mimi naamini vita dhidi ya corruption na masuala mengine haiwezi kufanikiwa bila DPP kuwa naa nguvu zaidi na bila kuwezeshwa zaidi. Haiwezekani watu wanaochunguza (CAG na TAKUKURU na Polisi) wanapewa uwezo mkubwa sana wa kufanya uchunguzi lakini kwenye kuleta mashtaka tunaambiwa "nafasi yao inazidi kutambuliwa pole pole". Hivi, uchunguzi una faida gani kama hakuna mashtaka au kuna maana gani uchunguzi ucheleweshwe kwa sababu DPP hana vitendea kazi au uwezo wa kufuatilia kesi mbalimbali?

Kwa mfano TAKUKURU hata ichunguze vipi sote tunajua ultimately ni DPP anaamua kesi ipi iendelee au ipi isiendelee na anayo haki ya kujiingiza kwenye kesi yoyote iliyofunguliwa na chombo chochote nchini! Binafsi naamini tumeweka vipaumbele vyetu kinyume nyume! kabla ya kuweza uwezo kwenye uchunguzi tulihitaji kuweka uwezo kwenye prosecution...

sivyo?
 
Kwangu mimi
naamini vita dhidi ya corruption na masuala mengine haiwezi kufanikiwa
bila DPP kuwa naa nguvu zaidi na bila kuwezeshwa zaidi. Haiwezekani watu
wanaochunguza (CAG na TAKUKURU na Polisi) wanapewa uwezo mkubwa sana wa
kufanya uchunguzi lakini kwenye kuleta mashtaka tunaambiwa "nafasi yao
inazidi kutambuliwa pole pole". Hivi, uchunguzi una faida gani kama
hakuna mashtaka au kuna maana gani uchunguzi ucheleweshwe kwa sababu DPP
hana vitendea kazi au uwezo wa kufuatilia kesi mbalimbali?

Kwa mfano TAKUKURU hata ichunguze vipi sote tunajua ultimately ni DPP
anaamua kesi ipi iendelee au ipi isiendelee na anayo haki ya kujiingiza
kwenye kesi yoyote iliyofunguliwa na chombo chochote nchini! Binafsi
naamini tumeweka vipaumbele vyetu kinyume nyume! kabla ya kuweza uwezo
kwenye uchunguzi tulihitaji kuweka uwezo kwenye prosecution...

sivyo?

Mzee Mwanakijiji hilo ni kama swali la kuku na yai. Kipi kimetangulia? Ukweli ni kwamba bila investigation hakuna prosecution!
 
Mzee Mwanakijiji hilo ni kama swali la kuku na yai. Kipi kimetangulia? Ukweli ni kwamba bila investigation hakuna prosecution!


in a sense yes; lakini in practicality uchunguzi unaoishia kwenye uchunguzi hasa kwenye masuala ya uhalifu na haki hautendi haki. Hivyo, prosecution ina nafasi ya pekee; kumbuka - na niliwahi kuwa na mjadala hapa muda kidogo uliopita - DPP anao uwezo wa kuagiza uchunguzi ufanyike na hata kufanya special 'investigation' yeye mwenyewe.
 
in a sense yes;
lakini in practicality uchunguzi unaoishia kwenye uchunguzi hasa kwenye
masuala ya uhalifu na haki hautendi haki. Hivyo, prosecution ina nafasi
ya pekee; kumbuka - na niliwahi kuwa na mjadala hapa muda kidogo
uliopita - DPP anao uwezo wa kuagiza uchunguzi ufanyike na hata kufanya
special 'investigation' yeye mwenyewe.

ndio maana nilitangulia kusema umuhimu wa DPP sasa hivi unadhihirika.
baada yakuimarisha vyombo vya uchunguzi demand ya huduma za DPP
imeongezeka. nakubaliana na wewe kuwa kuna ya haja ya kumtengenezea
mazingira mazuri ya kazi!
 
Naombeni kufahamishwa: Hivi kuna umuhimu kweli wa hii ofisi? Mi nadhani hawa investigators (TAKUKURU etc.) should go on prosecuting by themselves. Otherwise mi naamini kabisa DPP yupo pale kisiasa zaidi.
 
Naombeni kufahamishwa: Hivi kuna umuhimu kweli wa hii ofisi? Mi nadhani hawa investigators (TAKUKURU etc.) should go on prosecuting by themselves. Otherwise mi naamini kabisa DPP yupo pale kisiasa zaidi.

swali zuri kabisa kwani na mimi nina maoni hayo hayo; kama CAG anaweza kuchunguza na kukusanya ushahidi wote wa kitaalamu kuwa kuna makosa kwanini yeye mwenyewe asiandae mashtaka? au kuagiza chombo husika kuleta mashtaka kutokana na ushahidi huo? TAKUKURU kwa mfano wao wenyewe wanaweza kuleta mashtaka moja kwa moja lakini vile vile wanahitaji yaridhiwe na DPP!
 
ndio maana nilitangulia kusema umuhimu wa DPP sasa hivi unadhihirika. baada yakuimarisha vyombo vya uchunguzi demand ya huduma za DPP imeongezeka. nakubaliana na wewe kuwa kuna ya haja ya kumtengenezea mazingira mazuri ya kazi!
Mkuu unahoja nzito kwenye majibu yako.............. DDP ni mtu wa ofisini anasuburi watu wa field akina CAG,TAKUKURU na POLISI wafanye uchunguzi wao kisha yeye anatoa matokeo tu,nikama vile unaona walimu TZ nzima wanafindisha form four lakini wanaosahihisha mitihani hawafiki hata asilimia 10 ya walimu Kinadharai DDP anahitaji watu wachache kuliko wakina CAG na wenzake nafikiri ndio sababu wamepewa kipaumbele kupewa majengo..... Lakini mimi sidhani kama hoja hapa ni majengo, hoja ni uwezeshwaji wa hizi taasisi....unaweza kupewa majengo yako na usiwezeshwe inavyotakiwa na unaweza ukakodishiwa majengo na ukawezeshwa inavyotakiwa
 
Kwangu mimi naamini vita dhidi ya corruption na masuala mengine haiwezi kufanikiwa bila DPP kuwa naa nguvu zaidi na bila kuwezeshwa zaidi. Haiwezekani watu wanaochunguza (CAG na TAKUKURU na Polisi) wanapewa uwezo mkubwa sana wa kufanya uchunguzi lakini kwenye kuleta mashtaka tunaambiwa "nafasi yao inazidi kutambuliwa pole pole". Hivi, uchunguzi una faida gani kama hakuna mashtaka au kuna maana gani uchunguzi ucheleweshwe kwa sababu DPP hana vitendea kazi au uwezo wa kufuatilia kesi mbalimbali?
Mzee Mwanakijiji,
Nadhani kuna haja ya kuifanyia maboreshi ile sheria ya Taifa ya Ukaguzi ili kumpa mamlaka CAG kupeleka nakala ya Ripoti zake moja kwa moja kwa DPP. Na pia twende kwenye sheria ya DPP napo tufanye maboresho. Tumsimikie mamlaka ya kupitia taarifa ya CAG na kuandaa mashataka kwa wote watakaotuhumiwa. Wakati huohuo DPP awezeshwe kama CAG na PCCB.

Hata hivyo kuna ofisi moja ameitaja
Kimbunga ambayo inasahaulika lakini ni muhimu zaidi katika kudhibiti ufisadi Serikalini. Hii ni Ofisi ya Internal Auditor General. Kwa sasa hivi Ofisi hii ipo chini ya Hazina na watendaji wake ambao wapo Wizarani na Halmashauri mamlaka zao za nidhamu zipo chini ya Accounting Officers ambao ni Auditee wao. Bajeti zao zipo chini ya hao hao. Unakuta kwa mfano Chief Internal Auditor anataka may be akague sehemu flani, akipeleka mapendekezo na bajeti kwa Accounting Officer anaweza akakataliwa hasa pale Accounting Officer anapoona atachimbwa. Anamjibu tu sasa hivi Wizara / Halmashauri haina fedha.

Kimsingi, hii ofisi na yenyewe itengenezewe sheria yake ili iwe na meno kama ya Kenya. Mamlaka za nidhamu za Wakaguzi wote wa ndani ziondolewe kutoka kwa Accounting Officers zipelekwa kwa Internal Auditor General. Bajeti zao ziondolewe huko na ziwe aggregated na kutengenezewa Vote moja kwa ajili yao ambayo itasimamiwa na Internal Auditor General. Tukiweza kuimarisha ofisi ya Internal Auditor General ikawa Independent tutapunguza ufisadi na Hati chafu za kaguzi zitapungua kwa sababu yeye anakagua daily wakati CAG anakuja mwisho wa mwaka watu wameshaiba na wengine wamesha-resign kazi.
 
Tumbiri, nimependa sana; binafsi naamini pia kuna haja ya kuanzisha mfumo wa Emergency Financial Manager chini ya CAG. Baada ya CAG kuona kuwa mahali fulani kuna usimamisi mbaya wa fedha kiasi kwamba kuna ufujaji basi anatoa taarifa kwa wahusika kuwa idara au kitengo hicho kiko kwenye default na hivyo uongozi wake unasimamishwa na kuingizwa EFM ambaye atasimamia finances wakati uchunguzi unaendelea zaidi na kurudisha nidhamu ya fedha. Haiwezekanai CAG anaonesha kitu kile kile kwenye ofisi ile ile miaka nenda rudi bila matokeo ya papo kwa papo kwa wahusika.
 
Serikali ya JK jana imejisifia kwa kuwezesha TAKUKURU na CAG. Sote tunajua idara hizo mbili ambazo ni vinara katika kupigana na ufisadi sasa zina ofizi zao za kisasa - makao makuu na hata za mikoa/kanda. Lakini hakuna ofisi yenye matokeo ya moja kwa moja katika vita dhidi ya ufisadi kama ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP). Huyu ndiye mtu wa mwisho nchini anayeamua nani anashtakiwa kwa kosa gani na adhabu gani itafutwe. Baada ya majigambo yote yaliyotolewa jana nimebakia na hili swali
...Ukitaka kuwafikirisha watu, wachokoze wajadili. Au sio?

...Imetulia!
 
Tumbiri, nimependa sana; binafsi naamini pia kuna haja ya kuanzisha mfumo wa Emergency Financial Manager chini ya CAG. Baada ya CAG kuona kuwa mahali fulani kuna usimamisi mbaya wa fedha kiasi kwamba kuna ufujaji basi anatoa taarifa kwa wahusika kuwa idara au kitengo hicho kiko kwenye default na hivyo uongozi wake unasimamishwa na kuingizwa EFM ambaye atasimamia finances wakati uchunguzi unaendelea zaidi na kurudisha nidhamu ya fedha. Haiwezekanai CAG anaonesha kitu kile kile kwenye ofisi ile ile miaka nenda rudi bila matokeo ya papo kwa papo kwa wahusika.
...Kama wapi?. Je, tuna mfano wa kuiga?
 
ndio maana nilitangulia kusema umuhimu wa DPP sasa hivi unadhihirika. baada yakuimarisha vyombo vya uchunguzi demand ya huduma za DPP imeongezeka. nakubaliana na wewe kuwa kuna ya haja ya kumtengenezea mazingira mazuri ya kazi!
...Mazingira mazuri au mamlaka zaidi, kipi cha muhimu?

...Umuhimu wa DPP unafahamika toka long time ago, tatizo hili linafanana na lile la tume ya maadili. Hakuna nia ya dhati. Its as if haihusiki vile.
 
Back
Top Bottom