Mkuu,Wanzanzibar walifikiri lini kuwatendea chadema haki?
Haitatokea wala hakuna anaewania hilo litokee. Heshimu kauli ya "Zanzibar ni ya Wazanzibar". Wapenzi wa Chadema zanzibar wapo wana heshima zao sana lakini wako arginalised.
Jibu sawa na hapo juu haitatokea.
Ni vyema ukawashauri CDM wajitangaze hivyo kuwa hawana interest na Zanzibar ili wale wanachama wao kule watafute vyama vyenye agenda na Zanzibar.
Kuna , mchangiaji mwengine pia anasema CDM ipo zaidi kusimamia maslahi ya Tanganyika...katika hili munarahisisha kazi ya CCM ya kui-brand CDM kuwa ni chama cha Bara, dini na ukabila. Sipendi niamini kuwa ni hivyo. Acheni ushabiki huu unaoutia dosari CDM.
Kuna haja ya CDM kuwekeza pia katika kupata wanachama wengi na kufungua matawi huko Zenj.
Au CDM isizungumzie Tanzania, izungumzie Tanganyika.