Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Heshima zenu waheshimiwa ndugu Dr Slaa, Mbowe, Mnyika na Mkumbo, Najua nyie ni wana JF mpo katika hii himaya ya kina invisible na uwepo wenu hapa jamvini umeleta tija kubwa kwa kutujuza mambo mbalimbali ya kimapinduzi na kisiasa.
Sina uhakika kama wote mpo jamvini lakini nina uhakika kuwa Dr Slaa, Mnyika na Mkumbo tunao humu jamvini kwa maana nimeona post zao nyingi tu.
Nisiwachoshe na maelezo naomba niulize maswali mawili la pili likiwa na sehemu aa na be.
1.Kutokana na tamko lenu kuhusu KUB kuwa hamtawashirikisha CUF kwa kuwa imo ndani ya Serikali ya kitaifa je mtawashirikiasha UDP na NCCR - Mageuzi? na kama hamtawashirikisha ni kwanini?
2.Ninavyoona hamuwatendei haki Wazanzibari ambao miongoni mwao wapo wanaCDM kwa maana Serikali ya umoja wa kitaifa wao waliupigia kura za maoni na kura hizo ndizo zilizopelekea kubadilishwa katiba na kusomeka kama ilivyo sasa.
a) Je kwa katiba iliyopo Zanzibar ikitokea one day YES kwa CDM wakashinda wao na kufuatiwa na chama kingine cha pili mtaunda serikali ya zanzibar peke yenu?
b)Je ikitokea siku moja mkashika nafasi ya pili Zanzibar na katiba inasema kuna Serikali ya kitaifa mtakubali ku join hands na walioshinda ili kuwatumikia wananchi?
Nina maswali mengi lakini hayo ni yamsingi mengine ya nyongeza yatakuja baada ya kujibiwa hayo maswali.
Naomba kuwakisha na kutoa shukrani zangu za awali kwa majibu yenu mazuri na yenye kunifanya niwe huru na haya maswali yanayoniumiza kichwa tangu mlipotoa tamko kuhusu kuwashirikisha CUF na vyama vingine kwenye Kambi ya Upinzani Bungeni.
WanCDM.
Mnapotoa mawazo yenu mjue kuwa ni wananchi wa Zanzibar ndio waliopiga kura ya maoni kupitisha marekebisho ya katiba na kuweka kipengele cha serikali ya umoja wa kitaifa. Na katika hiyo sheria imetamka bayana kuwa vyama vitavyopata uwakilishi vitaunda serikali ya kitaifa. Sheria haikutaja vyama gani ila imesema vyama na sio CUF na CCM peke yake.
Mohammed H. Shossi
Safarini Ngamiani,
Sina uhakika kama wote mpo jamvini lakini nina uhakika kuwa Dr Slaa, Mnyika na Mkumbo tunao humu jamvini kwa maana nimeona post zao nyingi tu.
Nisiwachoshe na maelezo naomba niulize maswali mawili la pili likiwa na sehemu aa na be.
1.Kutokana na tamko lenu kuhusu KUB kuwa hamtawashirikisha CUF kwa kuwa imo ndani ya Serikali ya kitaifa je mtawashirikiasha UDP na NCCR - Mageuzi? na kama hamtawashirikisha ni kwanini?
2.Ninavyoona hamuwatendei haki Wazanzibari ambao miongoni mwao wapo wanaCDM kwa maana Serikali ya umoja wa kitaifa wao waliupigia kura za maoni na kura hizo ndizo zilizopelekea kubadilishwa katiba na kusomeka kama ilivyo sasa.
a) Je kwa katiba iliyopo Zanzibar ikitokea one day YES kwa CDM wakashinda wao na kufuatiwa na chama kingine cha pili mtaunda serikali ya zanzibar peke yenu?
b)Je ikitokea siku moja mkashika nafasi ya pili Zanzibar na katiba inasema kuna Serikali ya kitaifa mtakubali ku join hands na walioshinda ili kuwatumikia wananchi?
Nina maswali mengi lakini hayo ni yamsingi mengine ya nyongeza yatakuja baada ya kujibiwa hayo maswali.
Naomba kuwakisha na kutoa shukrani zangu za awali kwa majibu yenu mazuri na yenye kunifanya niwe huru na haya maswali yanayoniumiza kichwa tangu mlipotoa tamko kuhusu kuwashirikisha CUF na vyama vingine kwenye Kambi ya Upinzani Bungeni.
WanCDM.
Mnapotoa mawazo yenu mjue kuwa ni wananchi wa Zanzibar ndio waliopiga kura ya maoni kupitisha marekebisho ya katiba na kuweka kipengele cha serikali ya umoja wa kitaifa. Na katika hiyo sheria imetamka bayana kuwa vyama vitavyopata uwakilishi vitaunda serikali ya kitaifa. Sheria haikutaja vyama gani ila imesema vyama na sio CUF na CCM peke yake.
Mohammed H. Shossi
Safarini Ngamiani,