Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
Kama london ama france vijana waliunguza itakua bongo?haya mambo hutokea na nyakati hizi za mitandao watu kujiogarnise very simple.
Hivi we mzee uliwahi kuwa usalama wa taifa ukapigwa chini nini?naona kama unapenda kuwaponda hawa jamaa sana inshort we uko na chuki na serikali tena ni tangu awamu ya tatu nakusoma hivi walikufanya nini mzee
Hivi we mzee uliwahi kuwa usalama wa taifa ukapigwa chini nini?naona kama unapenda kuwaponda hawa jamaa sana inshort we uko na chuki na serikali tena ni tangu awamu ya tatu nakusoma hivi walikufanya nini mzee