Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Kitendo cha kamanda kova kuzuia maandamano ya chadema jana,kwa kisingizio cha kutokuwa na askari wa kutosha kulinda raia na malizao,na kuwapa mashabiki wa timu ya mpira wa miguu simba kibali cha kuzurura mitaani na kombe masaa machache tu baada ya mkutano wa chadema kwisha,hii ni dharau ya hali ya juu,tunahitaji kauli kutoka kwa viongozi wa chadema kwani dharau hii haivumiliki hata kidogo.
Mkuu sensor za intelijensia ya policcm zinanasa signal za chadema tu!
kwingineko wanakamata hola! hata ishu ya zanzibar sensor za intelijensia zime stack!