King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,514
Za watu ambao sio maarufu? Swali hilo kauliza Arnold kayanda wa Clouds FM(Mtangazaji wa Jahazi na Kibonde),wewe ungemjibu vp?
Sijakuelewa, hawa comment na ku like wapi?
Nadhani anamaanisha facebook....na mitandao ya kijamii mingine
unamjuaje star au celebrity hapa jf..all posters here have fake IDs including me and you..
Mimi navyojua na ninavyoamini kuwa jf tu pamoja natumia id fake mimi ni bonge la star..tena kuliko ambao wewe unawaita star.
Mbona hiyo ndoo mitaa yangu na hatufahamiani?. Mimi naishi pale gereji bubu pembeni ya huo msikiti wa hapo Popo Bawa. Niko na hawa jamaa tunadeal na sile issue za mitaa hii. Siku nikiwa fit napiga msosi pale kwa mpemba wa daybreak na siku dili zikigomba nakula pale kwa bonge.Mi no! aa! this is ma realy ID. nafaamika sana maeneo y tandale na manzese!! so i am a star!!
Sorry wakuu nilimaanisha Status za Facebook,Thanks mdau kwa kugues
Huu upumbavu ndio tumeukimbia Facebook na huku tena upo? Khaa