LARRYHOVER
Member
- May 9, 2011
- 29
- 1
Baada ya voda kutuzingua na unlimited yao kuona tunafaidi sana. Nataka hamia TTCL je naweza nunua line ya ttcl na kutumia kwenye modem yangu nliyo i flash?.. Je package zao zinakuaje? Na ofa zozote zilizopo currently i don kwn banjuka..... Etc.. Naomben ushauri kwa hili.