gonga puchu wee mpembaItabidi na mimi nimuulize vizuri inakuwaje ili na mimi niapply maana nasumbuliwa na upweke halafu "faranga" sina na nasikia siku hizi mapenzi bila cash hayaendi na ukimpenda mtu kama hana kitu usimwonyeshe.
duh kaka Jambazi hiyo avatar yako imeniacha hoi sana huyo jamaa inaonekana mwoga sana wa kipondo hastaili kuwa jambazi nadhani hapo atakuwa ameachia na uharo kabisa kama sio bao la stress:smile-big::smile-big:Hali ya kawaida sana.
hivi kumbe na wanawake inawatokea? ila kwa wewe nadhani sio issue kama nayoongelea wewe nahisi ulikuwa unapika chai huku mkono mwingine unapapasa pangoeeh jaman wakat mi napika chai jana asubuhi nikaskia hali km iyo bas uyooooo mbio toi...!!!!!!
gonga puchu wee mpemba
hii inakuja nachulare wala hamna kuforce ila ina kaburudani
Mimi sijawahi kuexperiance hiyo hali ila ninapokuwa kwenye mitihali ya long session like 3 hours "Mohammed" mdogo huwa ananisumbua sana......
wewe utakuwa ulikimbia biology maana umeongea ila sio kitaalam umevuta logic tuSikilizeni, ili bao lije kunahitajika mkusanyiko wa mambo kama matatu hivi, kwanza joto la mwili kupanda hasa sehemu za siri ili mishipa itanuke, pili kunaitajika msukumo wa kasi wa damu ambao unachangiwa na mapigo ya moyo kuongezeka na tatu ni relaxation ya mwili hapo lazima upige bao.
Ndo maana wakati unafanya mtiani na inafika kwenye panic season na ndo dakika ya mwisho ya majeruhi joto na mapigo ya moyo huwa yapo juu sana na ukiambiwa 'stoop!' ndipo unapoamua kurelux wakati mapigo ya moyo na joto viko juu na unajikuta bao hilooooooo ninakuja lenyewe kwa raha zake.
Mmenisoma?
hapo kwenye blue sikubaliani na wewe hamna mapicha yoyote yanayokuja kichwani maana kinachotokea ni kwamba mtu unakuwa busy na pepar tena unakuwa huna fikra zozote zaidi ya huo mtihani ila unajikuta unapiga bao, ningependa mtu je na maelekezo ya kisayansi zaidi
eeh jaman wakat mi napika chai jana asubuhi nikaskia hali km iyo bas uyooooo mbio toi...!!!!!!
eeh jaman wakat mi napika chai jana asubuhi nikaskia hali km iyo bas uyooooo mbio toi...!!!!!
Kwa assumptions za kawaida... u don't need women then... kila ukisikia kupata ahueni, fanya mtihani.... its fast and safer
Sikilizeni, ili bao lije kunahitajika mkusanyiko wa mambo kama matatu hivi, kwanza joto la mwili kupanda hasa sehemu za siri ili mishipa itanuke, pili kunaitajika msukumo wa kasi wa damu ambao unachangiwa na mapigo ya moyo kuongezeka na tatu ni relaxation ya mwili hapo lazima upige bao.
Ndo maana wakati unafanya mtiani na inafika kwenye panic season na ndo dakika ya mwisho ya majeruhi joto na mapigo ya moyo huwa yapo juu sana na ukiambiwa 'stoop!' ndipo unapoamua kurelux wakati mapigo ya moyo na joto viko juu na unajikuta bao hilooooooo ninakuja lenyewe kwa raha zake.
Mmenisoma?
Nimesoma post ya yule dada ambaye akinyonyesha ana cum imenikumbusha kitu kilinitokea miaka mingi sana iliyopita
Miaka ya nyuma sana wakati nasoma kidato cha nne niliwahi kukutwa na tatizo ambalo mpk leo nimekaa nalo kama siri, lakini kwa kuwa hapa kuna wataalam wengi ngoja niwamegee tujadili
Siku nilipokuwa nafanya mtihani wa mwisho wa taifa wa kidato cha nne wa Book Keeping kuna swali lilikataa ku-balance (wahasibu hapa mtanielewa vizuri) sasa wakati nachekecha akili na kuangalia wapi nimekosea nilisikia hali flani ya raha hivi mpaka nikapiga bao ndani ya chumba cha mtihani yaani ilikuwa na ajabu sana ila bahati nzuri waliokaa jirani walikuwa busy na mtihani hawakugundua ingawa nilipatwa na hali ya ajabu sana
ilibidi niombe ruhusa kwenda chooni kujiweka sawa ndio nikarudi kwenye paper na kuendelea (nilipata "A" mwisho wa siku)
Swali ni kwamba je hiyo ni hali ya kawaida au kuna mtu mwingine imeshamtokea akapiga bao katika kipindi cha stress kama hicho?. Naomba ushauri kutoka kwa wanaume au wanawake wenye taaluma na uzoefu wa mambo ya afya ya uzazi
Nimesoma post ya yule dada ambaye akinyonyesha ana cum imenikumbusha kitu kilinitokea miaka mingi sana iliyopita
Miaka ya nyuma sana wakati nasoma kidato cha nne niliwahi kukutwa na tatizo ambalo mpk leo nimekaa nalo kama siri, lakini kwa kuwa hapa kuna wataalam wengi ngoja niwamegee tujadili
Siku nilipokuwa nafanya mtihani wa mwisho wa taifa wa kidato cha nne wa Book Keeping kuna swali lilikataa ku-balance (wahasibu hapa mtanielewa vizuri) sasa wakati nachekecha akili na kuangalia wapi nimekosea nilisikia hali flani ya raha hivi mpaka nikapiga bao ndani ya chumba cha mtihani yaani ilikuwa na ajabu sana ila bahati nzuri waliokaa jirani walikuwa busy na mtihani hawakugundua ingawa nilipatwa na hali ya ajabu sana
ilibidi niombe ruhusa kwenda chooni kujiweka sawa ndio nikarudi kwenye paper na kuendelea (nilipata "A" mwisho wa siku)
Swali ni kwamba je hiyo ni hali ya kawaida au kuna mtu mwingine imeshamtokea akapiga bao katika kipindi cha stress kama hicho?. Naomba ushauri kutoka kwa wanaume au wanawake wenye taaluma na uzoefu wa mambo ya afya ya uzazi
Stress and being too excited are very common problems. They are also very closely related.
Your body reacts in a very specific way under these circumstances in what is known as a "fight or flight" response.
Your blood pressure rises, adrenaline and blood sugar increase to provide more energy, blood vessels to less important areas (your genitals, for instance) are cut off to bring more of the blood into your arms and legs, digestion shuts down, breathing increases, and your heart pumps faster. Your brain, in reaction to your circumstances, brings all of these physical changes about by overstimulating the sympathetic nervous system.
This is great when you're in danger or need to complete a task. However, it's also the cause of your premature ejaculation.
The human body's urge to orgasm is prompted by your sympathetic nervous system. Usually, it takes the physical touching and mental stimulation from sex to build this impulse to a point where you can orgasm. In your case, you've already stimulated the sympathetic long before sex begins.