Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Imagine wewe Mbu ni doctor unamfanyia uchunguzi kifaa kama irene uwoya.....hutaomba sub kweli?
...file lake chafu sana mazee!
Imagine wewe Mbu ni doctor unamfanyia uchunguzi kifaa kama irene uwoya.....hutaomba sub kweli?
...file lake chafu sana mazee!
unalifuta vumbi halafu uanendelea kulishughulikia... au vepe?
...vumbi linaletesha mafua, kifua na hata pumu! shida yote ya nini hiyo sasa! ...acha 'ende-sake' tu aisee!
...msee unajua ile kitu sometimes ni kosa ya jinai kuiwacha itokomee.
unajivisha mabomu halafu unajilipua nayo au vepe?
Pole...mnh,
Siri nyingine zinatakiwa zibakie huko huko kwenye Gynaecological examination... mtakuja kataa madakitari buree, wake zenu wabakie tasa!
...halafu sio lazima awe rika lake!
Personally na Very bad experience ya kimada fulani, katika kukuru kakara zake za kutoa mimba (haikuwa yangu!), akaangukia mikononi mwa huyo 'Gynaecologist' tena wala jamaa hakuwa Qualified,..matokeo yake ikawa kula nikule weee...
sijamsamehe mpaka leo huyo Binti na huyo Dakitari wake!
🤣🤣🤣🤣🤣aombe imekuwa lawalawa hiyo?