du! wewe bwana nakuogopa.sifa zako humu JF??????! Kila mtu anakutaja kuwa tukuogope.Kama nadanganya muulize Sinkala.
Basi siku- PM tena.Naona unaelekea kuwa kama Fidel80
Hahahaha! Acha hizo. Unabana hata kwenye mitandao?
Mkuu Fidel umeshaniharibia mambo. Si umeona Zion ananisepa?
Hahahaha! lol! Sina mbavu. Umeniua mkuu.
hahahah!mkuu bana, dah!!
vp mbona umeng'ang'ania sana hapo??
AMBAYE HAJAMEGA DEMU ZAIDI YA MMOJA, na KAOA HUYO ALIYEKUTANA NAYE MARA YA KWANZA, AANDIKE JINA HAPA.
1. Chamtu...
Na wife wako vipi? Hamegwi?
[/QUOTE]Kama hautamind nitaku-PM majibu ya maswali yako.Give me time
Yeah mkuu hii ni kweli na wanawake wengi wakisha tolewa bikra na huyo mwanaume wanajikuta wanakuja kuolewa na mwanaume mwingine tofauti na yule aliye mfundisha kuingia kwenye ulimwengu wa mapenzi. Anayebisha na abishe nani hapa kaoa/kaolewa na mtu aliye mbikiri/bikiriwa?
Fidel mbona unanirusha roho mwana wa mwenzio?Hehehehe yeah hata wakipoteana miaka 10 lakini pindi wakionana ngoma lazima ichezwe piga ua garagaza.