Hahahaha yeah mkuu hawa wanawake we acha tu sasa pindi anapolinganisha ufanisi mzee inakuwa mbaya zaidi utakuta kumbe lihawala lake lipo Tanga wewe na wife wako mpo Dar mzee trip za kikazi lazima wakutane na hawala wakumbushie au wife anafunga safari mpaka alipo jamaa.
Yeah iwa wanapenda kubadilisha radha tofauti tofauti kama ulimuumiza basi atatafuta radha tamu pindi wanapo pata radha tamu kuliko awali ndo wanawehuka zaidi.
tobaaaaa!!mbavu zangu! umekuwa mkweli sana mzeeeeDuh! Mi hata sijui kama nilishawahi kubikiri.
Yeah ndo maana mm nakwambia ukibikiri mtu basi huyo kwa walio wengi hutamwoa au hutaolewa nae vile vile mwanamke akimbikiri mwanaume inakuwa hivyo hivyo atakuja kuoa mtu mwingine ndo maisha hayo.
Hii kitu haina millage bwana .... huwezi kujua imetumika kiasi gani sometimes ni use or reconditioned. hata nyie ---- ni balaa tupu ingekuwa ni [U]mfutio wengine ungekuta vimeisha ....[/U]
Ki ukweli hata wife nilikuta ameshatumika.
Wanawake wanatupiwa lawama wakati wote kwa kuwa ule mshahara wa kuvunja amri ya sita unaonekana physically kwao kwa ile mimba.Imetokea mara nyingi uchumba umevunjika kwa msukumo wa familia au marafiki eti kwa vile binti alikuwa na historia ya kuwa na wanaume wengi wakati huohuo huyo mwanaume siyo clean kihivyo.
Mfano mzuri upo kwa madenti wa kike,huwa wanafukuzwa shuleni na hata nyumbani wakipata mimba na wakati mwanaume aliyempa mimba ametulia tu na ndio kwanza anapongezwa eti kidume cha mbegu.mfano mwingine ni pale inapotokea mwanaume amepata safari ya kimasomo nje ,akifika huko anabadilisha wanawake atakavyo,na itokee mkewe akajaribu hata mara moja na kupanda mimba utasikia kasheshe yake.
Na hata hiyo bikra zamani katika makabila walikuwa wanaangalia kwa binti tu na sio mwanaume.Yani wanakuwekea mashangazi hiyo siku ya kuolewa wakukague usipokutwa nayo ni fedheha kwa familia yako yote na mwanaume hawamuangalii kama na yeye ni bikra.
kwa hayo huoni kuwa hakuna balance hapo katika hilo swala?Kama wanaume wangekuwa wanabeba mimba nao ingekuwa rahisi kuwakamata wasikane pale wanapoharibu.
Mmoja wao ni mdogo wangu aliyetuthibitishia hivyo nasi tumeamini usemi wake.
absolutely wrong .... i have a number of cases ... wako wengi tu!!
Ahsante kwa maelezo mazuri, sasa turudi kwenye mada. Aliyekubikiri wewe umemsahau? Je umeolewa / una mpango wa kuolewa naye. Kama siyo, Je ukikutana naye akataka akumege tena utamkatalia?
Kama hautamind nitaku-PM majibu ya maswali yako.Give me time
Umeanza wivu, tuachie na wenzio mara moja moja bana
Hata mm ni-PM sawa mama?
du! wewe bwana nakuogopa.sifa zako humu JF??????! Kila mtu anakutaja kuwa tukuogope.Kama nadanganya muulize Sinkala.
Si umeona mkuu Fidel? Unaogopwa humu ndani. Tuachie wenye sura za watakatifu tujaribu bahati zetu. Nikibahatisha afu ikawa sealed ntatangaza ndoa.