DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 193
- 83
###################################################################
Mfano wewe umesafiri kwa wiki 2,
unarudi ghafla unakuta mkeo ananong'ona na m2 chumbani
lakini ukiwa unawaza ha2a ya kuchukua
gafla unavamiwa na simba jamaa na mkeo wanatoka na kanga kiunoni
lakini jamaa anapambana na simba hadi anamuuwa, na kuokoa maisha
yako.
Ungekuwa wewe ndugu yangu ungechukua ha2 gani kwa mshkaji?
##################################################################
Mfano wewe umesafiri kwa wiki 2,
unarudi ghafla unakuta mkeo ananong'ona na m2 chumbani
lakini ukiwa unawaza ha2a ya kuchukua
gafla unavamiwa na simba jamaa na mkeo wanatoka na kanga kiunoni
lakini jamaa anapambana na simba hadi anamuuwa, na kuokoa maisha
yako.
Ungekuwa wewe ndugu yangu ungechukua ha2 gani kwa mshkaji?
##################################################################