Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
wale wanaotumia madawa na cream za kujichubua inamaanisha WANAUKANA UAFRICA?
Ni kutojiamini na kuwa na mawazo potofu kuwa hawapendezi na rangi waliyo nayo...ambayo ni ujinga
we wajua uafrica ni kua mweupe?Kwani uAfrika ni kua mweusi?Wanakana ngozi zao za asili!
Kwani uAfrika ni kua mweusi?Wanakana ngozi zao za asili!
Hilo co swali, nimetumia gender blindness kupata jbu na sio gender awarenessKwani kuna jinsia nyingine zaidi ya mwanaume na mwanamke?
Blak women umenena vema.Ulimbukeni unawasumbua na kuona weupe ni uzuri mwisho wa siku
hawathubutu kupita kwenye jua wanakuwa na mabakamabaka kama batiki
Gud saynapenda mdada natural colour banaa, kama na black ni black beauty na kama ni brown skin iwewee hiyo hiyo si mrembo ana rangi nne duh
Ndivyo unavyotafsiri nlichosema?we wajua uafrica ni kua mweupe?
Lizzy
wewe umekana ngozi yako mie aku blaki womani
Kwani uAfrika ni kua mweusi?Wanakana ngozi zao za asili!
napenda mdada natural colour banaa, kama na black ni black beauty na kama ni brown skin iwewee hiyo hiyo si mrembo ana rangi nne duh
wale wanaotumia madawa na cream za kujichubua inamaanisha WANAUKANA UAFRICA?
wale wanaotumia madawa na cream za kujichubua inamaanisha WANAUKANA UAFRICA?