Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
hi guys... hope mko pouwa! Kuna mjadala tulikuwa tunajadili siku moja. Eti mwanaume akikupelekwa kwake "kumbuka huyu ni single yaani hajaoa.
Ni kwamba kakuheshimu na ni mwaminifu ndo maana yuko huru kukupeleka kwake. kwa maelezo yao "wanaume ni kwamba et kakuheshime sana" kama hajakuheshimu angekupeleka lodge.
Lakini huyo huyo mwanaume hapo home kwake ndo anawaleta wasichana wote anaodate nao, so hiyo ni heshima au dharau????? Me nililipinga sana hili na wala haliwezi kuwa kigezo cha uaminifu.... Je wadau ninyi mnalionaje hasa ninyi mwanaume
Ni kwamba kakuheshimu na ni mwaminifu ndo maana yuko huru kukupeleka kwake. kwa maelezo yao "wanaume ni kwamba et kakuheshime sana" kama hajakuheshimu angekupeleka lodge.
Lakini huyo huyo mwanaume hapo home kwake ndo anawaleta wasichana wote anaodate nao, so hiyo ni heshima au dharau????? Me nililipinga sana hili na wala haliwezi kuwa kigezo cha uaminifu.... Je wadau ninyi mnalionaje hasa ninyi mwanaume