Swali kwa Wana-JF

hapa ndo kila kitu,ni vizuri mnapoleta hapa jf kwani ni eneo la magreat thinkers so issue yako itajadiliwa na majibu utayapata hapa kama wewe ulivyoleta na mimi nadhani may be uliguswa na thread mojawapo pole kwa hilo lakini ndo maisha yalivyo jambo kubwa kwako ni dogo kwa wenzako kama ukiwashilikisha

mapinduziiiiiiiii daimaaaaa
 
Jamani mimi nimekuwa nikijiuliza hili swali:
Hivi mtu anapoleta shida yake hapa jamvini...hasa inapomhusu partner wake, ni kwamba huyo partner wake yeye huwa hatembelei maeneo haya ya JF??? Maana jinsi wahusika wanavyo elezea the whole situation, inakuwa so detail! mbona inakuwa rahisi kwa partner kujua kwamba hii inafanana na ya nyumbani kwake? Je, hauoni kuwa unaweza ukasababisha kukosekana kwa amani nyumbani , partner wako akianza kuhisi kuwa umesimulia jamii matatizo yake??

Nyie mnasemaje hapo?


mara nyingi hapa Jf kuna ID dhahania,huwezijua nani in person kasema nini! So,vigumu kujua kama ni mtu wako anakusema,na mara nyingi waleta mada ni weledi,wanaficha picha flani ya moja kwa moja. Hapa naona kuna Great Thinkers!
 
Binafsi huwa najiuliza sana hilo swali.. Ila, mh!! acha tu,, Great thinkers at work..............
Nimeipenda chagamoto yako mkuu....
 
Mara nyingi tu mimi nimehitimisha hivyo kwamba partner anayeandikwa kama anaingia huku atajijua kwamba mwenzake kaja kumchora huku. Kwa mfano yule anayependa perfume za mwenzie na hata hununua perfume za kike kama huwa anaingia huku atajifahamu tu kwamba kachorwa kwenye jamvi.

jf imeingiliwa! Nasema hivyo coz watu sasa badala ya kuleta mada zenye mashiko na zinazoibua hisia zetu vijana(hasa kuhusu umaskini wa nchi yetu na uongozi mbovu) tunajadili kuchorana kwa patna! Tupo makini kweli?
 
Shida nyingine za kichina.
wengine wanatengeneza ID mpya ndio wanapost shida zao kama ni za ndani mno. au hawezi kuianika kama ilivyo, anaweza kupunguza/kuongeza details.
 
jf imeingiliwa! Nasema hivyo coz watu sasa badala ya kuleta mada zenye mashiko na zinazoibua hisia zetu vijana(hasa kuhusu umaskini wa nchi yetu na uongozi mbovu) tunajadili kuchorana kwa patna! Tupo makini kweli?

hoja zote zinajadiliwa mpendwa. Tembelea na majukwaa mengine ujionee.
Unataka tuongee umaskini tu?
 
Asanteni kwa mawazo yenu. Ni kweli matatizo yanaweza yakawa yanafanana kwa wengi, ila kuna wengine kweli wanatoa detail za kutosha kabisa kujua hapa ni mimi nasemwa! Na sio rahisi kubadilika kwa haraka hivyo, kwamba umemuanika hapa jamvini akajiona then ajirekebishe!!?? sina uhakika kwa kweli!
Ila mimi ninavyofikiri na kuamini, ukiona partner wako ana tatizo kwanini usimwambie, ili mjaribu kutatua tatizo kwa pamoja na kutafuta ushauri kwa wengine???! Ninaamini katika mawasiliano ya pamoja, yanapelekea kujenga upendo zaidi na kuaminiana kuliko kupelekea jamii kwanza!!!

Big up kwa mawazo yenye hekima na busara.
 
Most detailed issues nadhani huwa ni make believe.., Honestly mada nyingi zinazoletwa humu huwa naziangalia with a raised eyebrows..

lakini sababu najua ingawa ni story za kutunga lakini jambo kama hilo au nusu au zaidi ya hilo lilishatokea au litatokea huwa sioni shida kujibu.. (najibu regardless ni nani kauliza au kama ni kweli yamemtokea, so long as it is a plausible story)
 
Si watu wanauliza anonymously? Ni sawa na wale wanaouliza magazetini.
Kwani kuna mtu alikuja kusema mpenzi wangu fulani bin fulani?
Wanaongea tu kuhusu situation, na wanapewa suluhisho.
Mpenzi akiona nae analeta mada: hili la kuleta tatizo la ndani hapa JF imekaaje?

Kuna couple humu ndani hua wanaeleta sana matatizo yao.
Ukisoma tu thread zao, na majibu yao utajua jana walilalaje. lol
But siku hizi siwaoni, wote wawili.
 
Si watu wanauliza anonymously? Ni sawa na wale wanaouliza magazetini.
Kwani kuna mtu alikuja kusema mpenzi wangu fulani bin fulani?
Nadhani hapa anaongelea details kama nilikutana nae sehemu fulani baada ya kuongea nae hapa na akasema A, B, C na baadae tukafanya A, B baada ya kumjibu C, D, E... hivyo basi katika probability uwezekano ni mdogo sana mambo mawili kama haya kutoa kwa watu wawili within a short time.., mtu ukiangalia tu utahisi its me she/he is talking about

Wanaongea tu kuhusu situation, na wanapewa suluhisho.
Mpenzi akiona nae analeta mada: hili la kuleta tatizo la ndani hapa JF imekaaje?

If you ask me hizi detailed stories most of them huenda ni za kutunga.., ila sio kwamba hazitokei na huenda katika story moja kuna mambo tofauti tofauti yameshawatoea watu tofauti tofauti kwahio ushauri hauendi to waste (sababu unasaidia wengi
Kuna couple humu ndani hua wanaeleta sana matatizo yao.
Ukisoma tu thread zao, na majibu yao utajua jana walilalaje. lol
But siku hizi siwaoni, wote wawili.
Could be trues huenda kweli ni Couple wana enjoy and this is like a game to them, pia huenda sio couple bali its the same person with multiple id's disorder... anything is possible.. (lakini sioni tatizo kama story ni plausible hata kama ni ya kutunga so long as it help others through the story)
 
inategemea na nature ya tatizo lenyewe.. issues nyingine ni vizuri kuzitafutia solution as a couple kabla hazijaletwa kwenye jukwaa... mfano kuna ule wimbo wa kila siku kwamba mwenzi hamfikishi mwenzake, so msipoli- address wenyewe mnategemea nani awatatulie.. halafu mwenzako akigundua umeleta suala kama hilo huku wakati pengine hujawahi hata kumweleza kuna tatizo hilo hawezi kujisikia vizuri
 
Back
Top Bottom