Mpo kwenye mahusiano taklibani mwaka mmoja. Mwanzoni mambo yanakuwa mazuri na Mungu anawajalia mnapata mtoto japo ndoa bado. Mara vitimbwi vinaanaza kutoka kwa mmoja wapo lakini mwenzie anakaa kimya tu akiendelea kusoma mazingira. Hatmaye yule aliyeanzisha vitimbwi anaamua kumwambia wazi mwenzie kuwa amemchoka na hataki kumuona tena kwenye uso wake hivyo afunge virago na kuondoka. Mwenzake aliye kuwa kimya muda wote akajibu kuwa laiti ungejua kuwa nami nimekuchoka, natamani kuondoka hata sasa hivi? Je kama wewe ungelikuwa ni mtu yule aliyeanzisha vitimbwi ungejisikiaje?