Underskirt ilikuwa inavaliwa ili mwanamke ajisitiri zaidi pamoja na skirt aliyovalia juu ili yamkini Watu wengine wasione hata ule Mchoro wa Chupi!! Sasa siku hizi kuonyesha jinsi mtu alivyoumbika ndiyo wito wa kila siku wa wanawake wengi ndiyo maana hizo bidhaa siku hizi hazina soko!! In addition,Wanawake wengi siku hizi hupendelea kuvaa suruali,hawapendi tena kuvaa skirt,as a result,wearing underskirts becomes Obsolete!!Heshima mbele wana jf!ktk uchunguzi wangu wa haraka haraka nlioufanya cku za hvi karibuni nimegundua kwamba kati ya wadada 10 bas 9 hawavai magaguro{underskirts},tatizo ni nin wakuu au cku hzi hayo mavazi hayapatkan madukan?
Kama hatuhitaji kuvaa?!Unataka kutulazimisha?!Hao wadada 9/10 umewachunguza kwa muda gani?Sample ya wapi na wapi?!Ulikua na makundi mangapi ya wadada 10 ili tuweze kuona kaukweli kwenye hako kauchunguzi kako?!
Underskirt ilikuwa inavaliwa ili mwanamke ajisitiri zaidi pamoja na skirt aliyovalia juu ili yamkini Watu wengine wasione hata ule Mchoro wa Chupi!! Sasa siku hizi kuonyesha jinsi mtu alivyoumbika ndiyo wito wa kila siku wa wanawake wengi ndiyo maana hizo bidhaa siku hizi hazina soko!! In addition,Wanawake wengi siku hizi hupendelea kuvaa suruali,hawapendi tena kuvaa skirt,as a result,wearing underskirts becomes Obsolete!!
afu mbona na wakaka wa siku hizi hamvai suruali bwaga? Manake mnavaa visuruali undersize,ama mnashindana na
wadada?
Umenikumbusha ndugu KUNA JAMAA AKIUONA ULE MSTARI WA CHUP YEYE HUWA HOOOOIIII
kwanza cna lengo la kuwalazmisha kuvaa hayo magaguro,uchunguz wangu nimeufanya ndani ya miez 3,nimechukua sample ya rika tofauti miaka 18-39,then nime2mia mikoa 7 ya tanzania{dar,arusha,mwanza,moro,mara,iringa na kilimanjaro}.Kama hatuhitaji kuvaa?!Unataka kutulazimisha?!Hao wadada 9/10 umewachunguza kwa muda gani?Sample ya wapi na wapi?!Ulikua na makundi mangapi ya wadada 10 ili tuweze kuona kaukweli kwenye hako kauchunguzi kako?!
hata ngomani siku hizi vibwaya vimepotea, kumebaki kanga moja ndembe ndembe lepe lepe...
Ulikua unawavua sketi wote au ilikuaje?!kwanza cna lengo la kuwalazmisha kuvaa hayo magaguro,uchunguz wangu nimeufanya ndani ya miez 3,nimechukua sample ya rika tofauti miaka 18-39,then nime2mia mikoa 7 ya tanzania{dar,arusha,mwanza,moro,mara,iringa na kilimanjaro}.
Kama hatuhitaji kuvaa?!Unataka kutulazimisha?!Hao wadada 9/10 umewachunguza kwa muda gani?‘Sample ya wapi na wapi?!Ulikua na makundi mangapi ya wadada 10 ili tuweze kuona kaukweli kwenye hako kauchunguzi kako?!
Hata ngomani siku hizi vibwaya vimepotea, kumebaki kanga moja ndembe ndembe lepe lepe...