Swali :kwa nini hamna os ya kichina

Habari wana jukwaa...
Nijuavyo mimi wachina hawajawahi kutengeneza OS, lakini wanatengeneza processor(chinese innovated) ambazo huwa zinatumiwa na systems za jeshi la China pamoja na other secured systems za Beijing administration tu.
OS(napenda tuziite cloned OS) pekee hawa mabwana wanatengeneza ni zile za mobile na smartphones tu, wao wana simu zao ambazo miaka ya karibuni zimekuwa zikiingizwa Tanzania na sehemu nyingine za Afrika.
Hili jibu nina uhakika nalo kwa kuwa nimeishi China muda mrefu tu.

Mkuu mleta thread, any OS is vulnerable to computer viruses, keep in mind virus huwa anakuwa programmed to function/run in a particular platform in our matter it might IOS, WIN, Google Chrome OS etc etc..

Wana OS developed from linux inaitwa red flag Linux, graphic interface yake ni similar sana na windows ili iwe rahisi kwa watumiaji. Lakini inadaiwa codes nyingi wame copy na kupaste hawaja develope code za zaida kwenye hiyo OS japo inatumika kwenye internet cafes na system zao nyingine.
Wajapana ndo wana OS developed from the scratch ambayo nayo wameiacha kama open source inaitwa TRON amba wana Stron, MTRON, PTRON na nyingine kibao ikitegemea na matumizi.
Nadhani kutengeneza OS ni kati ya kazi ngumu sana
 
Wana OS developed from linux inaitwa red flag Linux, graphic interface yake ni similar sana na windows ili iwe rahisi kwa watumiaji. Lakini inadaiwa codes nyingi wame copy na kupaste hawaja develope code za zaida kwenye hiyo OS japo inatumika kwenye internet cafes na system zao nyingine.
Wajapana ndo wana OS developed from the scratch ambayo nayo wameiacha kama open source inaitwa TRON amba wana Stron, MTRON, PTRON na nyingine kibao ikitegemea na matumizi.
Nadhani kutengeneza OS ni kati ya kazi ngumu sana

Yeah nimekupata mkuu...kutengeneza OS from the scratch si kazi rahisi.
Hawa jamaa kama ulivyoeleza wametumia advantage ya RedHat Linux OS kuwa open source kutengeneza kitu yao.
Nakuhakikishia kuwa hiyo Redflag Linux bado sio popular kwa end users wa kawaida...wengi bado hutumia pirated copies za Win.
 
duh nimeelewa sana somo nimefurahi kuleta mada hii na watu jinsi mlivyochangia najua watu watakuwa wamepata vitu vingiambabvyo walikuwa hawavijui binafsi yangu sikuwa najua kama kuna advanced phone zaidi ya iphone 5 ukiachana expected nokia lumia thanx chief mkwawa na wengineo
 
pia jamani kuna kitu kingine nashindwa kukielewa kwa nini ktk simu za balckberry na iphone hawa watu hawaweki radio coz ninavyojua sio kwamba wanashindwa coz simu za kawaida tu zinasuporrt what is the logic behind kwa wao kutoweka radio kwenye simu zao
 
pia jamani kuna kitu kingine nashindwa kukielewa kwa nini ktk simu za balckberry na iphone hawa watu hawaweki radio coz ninavyojua sio kwamba wanashindwa coz simu za kawaida tu zinasuporrt what is the logic behind kwa wao kutoweka radio kwenye simu zao

Hizi simu zimeekwa ki premium zaidi yani simu za kitajiri haipendez tajiri anaskiliza radio kwenye simu na akitaka atatumia internet radio.
 
so wchina wameshindwa kuzifanya os zao zikawa world wide from ur point of view nimeelewa kwamba os hizo zipi china na maandishi ni ya kichina design kila kitu

Alibaba's Aliyun OS hopes to be 'Android of China' | ZDNet

Swali hapa ni kwa nini dunia nzima haiongei Kichina wakati Wachina ndio wengi zaidi?

Jibu ni kwamba Wachina kihistoria walijiona wao ndio kitovu cha dunia na utamaduni wote, na ingawa walitembea dunia nzima zamani sana, falme zao zilipopiga marufuku kutembea nje (kwa sababu China kuna kila kitu uende nje kufuata nini?) ndipo walipopitwa na wazungu.

Kuna OS za kichina, tatizo kama hujui Kichina utazijuaje?
 
Hizi simu zimeekwa ki premium zaidi yani simu za kitajiri haipendez tajiri anaskiliza radio kwenye simu na akitaka atatumia internet radio.
hahaha wamebugi meen labda sio kwa bongo,bongo mtu ana bb storm lakini hana bundle ya kusurf wala ya kuingia bbm sasa hiyo internet radio atapataaje?
 
nijuavyo mimi wachina ni mabingwa kucopy na kupaste katika vitu mbali mbali lakini toka nimeanza kutumia computer os ninayoijua na kuisikia sana ni za microsoft kuanzia window 95-window 8 inayotarajiwa kutoka mwezi huu sasa swali kwa nini hamna os ya kichina ambayo hawa watu wangekuwa wameicopy na kubadilisha vitu kidogo tu ili kuleta ushindani kama kawaida yao?
then window 8 karibia inatoka ktk pita pita zangu bado sijaona kama ni free from virus kwani hawa watu nini kinachowashinda kuifanya os ya window ikawa free from virus mbona apple zao ni free from virus
swali la mwisho naombeni mnipe elimu juu ya hili hivi copmputer za aple mtu hauformat kam hizi zetu za kawaida na ikiwa umeformata wapi unapata c.d zake za window na kama c.d ya o.s ya apple ipo hivi mtu huwezi ukainstall ios katika computer za kawaida naombeni kuwasilisha wadu

Masahhsho aple zna afectiwa na vrus!! Kama ulisoma post ya chief mkwawa last week utakua umenielewaaa

2 cjawah ona computer inatumia ios!! computer za apple znatumia mac os... Ios ni ktka tablets zao na i phone + some of i pods....

Hope umenpata
 
naanza kwa kukujibu kuwa OS za kichina zipo ila si mashuhuri kwakuwa developers wengo wa application wana develope application ambazo wanataka wauze sana wapate faida na ndo maana OS za kichina si mashuhuri labda huko kwao. Na kama mdau alivyosema za simu ndo utazikuta kwenye simu zao.
Je ni kweli kwamba windows ndiyo inavamiwa na virus peke yake?
Jibu ni hapana, hata mac pia sio free from virus ila virus wengi wanaotengenezwa wako katika exe ambayo ni extension za software zinazofanya kazi tu kwenye windows ukiiweka kwenye mac na ubuntu haiwezi fanya kazi wala haitambuliki ni kitu gani. Hata virus anayeweza run kwenye mac ukimweka kwenye windows atakuwa hatambuliki na hawezi fanya kazi.
Windows inashambuliwa zaidi kwakuwa ndo OS inayotumiwa zaidi na watu. Pia tatizo la windows OS kuna mambo yanaweza run bila mwenye comp kuwa na habari tofauti na mac na ubuntu ambazo zinahitaji mwenye comp kuweka password au ku accept ndo mambo yandelee mbele kama kuinstall au ku unstall kitu so ni vigumu virus kuingia bila taarifa ya mhusika.
Je ni kweli kuwa lion OS haiwez kuwekwa kwenye PC na huwezi kuipata?
Si kweli naomba nieleze kitu kimoja, miaka kadhaa nyumba processor za comps za apple zilikuwa zinatengenezwa na kampuni ya motorola. Kutokana na architecture ya hizo processor OS ya mac ilitengenezwa kufanya kaz kwenye hizo processor hivyo isingeweza fanya kazi kwenye pcs nyingi ambazo zinatumia intel processors. Windows ambayo inafanya kazi kwenye processors za intel, amd na ibm pia isingeweza ku run kwenye comp za mac kwakuwa zilikuwa na processors za motorola.
Toka mac ahamie kwa intel na kuboresha os yake ili i run kwenye intel basi OS ya mac waweza install kwenye PC zenye intel kama zina viwango vinavyo faa na mjya pcbao wanasema nzuri ku run mac ni HP pro 4530S. Pia kwenye pc za mac wawezaweka windows kwakuwa hivi sasa zina intel processors.
Kuhusu os ya mac zipo hata mimi ninao lion x niliidownload nikaiweka kwenye pc ila niliitoa aa ukieka kwenye pcs kuna keys za keyboard hazifanyi kazi cozmetengenezwa maalumu kwa winws.
Natumai nimeeleweka.


nimefurahi kujua tu sio mimi hapa dar huwa najaribu kutumia Mac OS kwenye mashine yangu. ecko kijana. ila kama ulivyosema, inaleta mizinguo kwa drivers zingine. kwangu mie ethernet haifanyi, inasoma GPU ya intel pekee yake, drivers za sound hazipo, na coz of GPU, haiwezi sleep au hibernate (biashara ya kuwasha laptop kila saa kwangu sio deali), so hata mie mwishowe nikaitioa. nimeona umeandika kuna HP inafaa zaidi, kitu nimeona interesting, nitafanya google search for *most compatible with Mac OS intel Laptops* alafu niingie vijiweni

kuna OS ya kichina nilishaona, jina ndo shida kukumbuka kwa sasa, bado ninayo mashine pale ghetto, nitawashtua nikirudi A.town. ilikuwa hata laptop ni ya kichina, na nilishindwa kumodify coz bios yenyewe ilikuwa kitu sijawai ona. nafikiri the biggest problem na kutengeneza OS ni kupata support kutoka kwa PC manufaturers coz huwezi kuwa na OS ambayo haiwi supported na laptops (shida kubwa haswa kwa Linux)
 
Back
Top Bottom