Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
- Thread starter
- #21
kaka, Vincent Augustino,
Ole Medee huyo Naibu Wizara ya Ardhi!!! amulize nani maswali sasa? na ardhi wameshapeana vigogo?
Tuko jimboni na huu utata umetokea kwenye jimbo lake, kama hatalifanyia kazi 2015 si mbali na walioliwa 10,000 ni watu wa kawaida na zinawauma kweli kweli. Ajabu walingojea Waarusha wapige kura kesho yake wakabandika orodha