Muulize vizuri kabla ya kumhukumu.kwani ulidhani ni bikira eti kwa sababu ni mtoto wa mchungaji.Kapime kwanza usije kuanza kuishi kwa matumaini. mpaka anakuwa na alama hizo kwenye mwili wake basi ujue watu wengi(zaidi ya wawili) wamepita hapo.ila ukisha funga ndoa kinachofuata ni kuvumilia,kueleweshana na kupatana,ili ujiweke katika line ya kwenda kwa Mungu.:A S-coffee: