I call a spade a spade and not a big spoon. Mtu anakuwa na msichana anadhani kwamba huyo binti ni ''malaika'' na eti unasubiri mpaka siku ya ndoa ndipo uonje, mambo ya kizamani sana hayo! Na ndio hapo sasa watu wanammega, na wa wanamchora na tattoo kabisa!!!
Na bora hiyo tattoo ya kwenye mapaja iwe ya kawaida, isijekuwa ni tattoo ya uume halafu imeandikwa jina la mwanaume mwingine!
Ndugu, eti samahani niko na swali wewe uko na mke wako mpya, mtoto wa Mchungaji na kakulia kwenye familia ya kilokole, kutokana na maadili aliyokulia hujala tunda hadi baada ya kufunga ndoa takatifu kanisani. usiku wa kwanza tunda mmelila gizani, asubuhi ukaja kugundua ana tatoo permanent one mbili mmoja kwenye paja pembeni kabisa na home sweet home na nyingine kwa bubs yaaani kama zile za eve je utaendelea kuwa nae?
Naomba jibu tafadhali
Kuna rafiki yangu alitoka nje masomoni akampenda msichana mmoja akampeleka kwao kumtambulisha,rafiki wa mdogo wake akamwita pembeni na kumwambia huyu msichana hakufai vijana wengi tunaponea kwake na kama unabisha ana tatoo nne,moja juu ya ziwa,moja kutovuni,moja juu ya kalio na moja ndani ya paja.
Hivi mtoto wa mchungaji ni malaika? Au hata mchungaji mwenyewe?
Kwani tattoo zina ubaya gani? Na je umemwangalia vizuri, usikute hata kwenye kisimi kafunga hereni...!!! Ndio maana inashuriwa kuonja kwanza kabla ya ndoa...!!! Ili kuepuka kukwazika kwenye ''honeymoon'' kama hivi.
Ndugu, eti samahani niko na swali wewe uko na mke wako mpya, mtoto wa Mchungaji na kakulia kwenye familia ya kilokole, kutokana na maadili aliyokulia hujala tunda hadi baada ya kufunga ndoa takatifu kanisani. usiku wa kwanza tunda mmelila gizani, asubuhi ukaja kugundua ana tatoo permanent one mbili mmoja kwenye paja pembeni kabisa na home sweet home na nyingine kwa bubs yaaani kama zile za eve je utaendelea kuwa nae?
Naomba jibu tafadhali
........du!nini tattoo?tena huyo anaonekana mtoa tigo mzuri sana tu,maana bikra alikua anakutunzia wewe,jaribu kula ndogo uhakikishe maneno yangu.:violin:
we nawe kwani tatizo lipo wapi sasa? Kuwa mtoto wa mchungaji haimaanishi kitu..lakini nakulaumu kwa nini hukufanya riheso ya kumegana kwanza unakwenda kichwa kichwa tu..hujasema kitu kimoja hapa kutokana na ulivyoandika ni kwamba ulitakiwa siku ya kwanza kummega ukute kitu brand new (not used) hebu sema kama ilikuwa new au used?. Kiranja mkuu vipi bana?
Na me ndo Nashanga GS eti amuache kwaajili ya tattoo? kuchora kitu gani bwana unaweza ukachorwa ttoo na bado mtu asione ndaniUmwache kwasababu gani?ya tattoo?