Swali kwa kina dada.

Du! mume wa hivyo balaaaaaaaa - anyway turudi kwa watoto
1. Nitawachukua hao watoto - huyo baba lazima awalee - awasomeshe kwa gharama yoyote - wanaume wengine wanakataa responsibility na kuharibu maisha ya watu wengine (hao watoto wasio na makosa) kwani mama 'changudoa na mwingine bar'mai' sidhani kama wana akili ya kuwaendeleza hao watoto
[ NIKO KI-UNICEF ZAIDI HAPA]

2. Kama huyo mume hana uwezo - hapo itakuwa imekual kwa 'watoto' kwani sitawachukua ndani ya nyumba

shida ni pale atakaporudia tena kosa hilo hilo????/ kweli MUME asiye mwaminifu ni SHIDA

hapa nimesema kama MAMA - ila mie ni YATIMA TU...........:A S-baby::A S-baby:
 
Du! mume wa hivyo balaaaaaaaa - anyway turudi kwa watoto
1. Nitawachukua hao watoto - huyo baba lazima awalee - awasomeshe kwa gharama yoyote - wanaume wengine wanakataa responsibility na kuharibu maisha ya watu wengine (hao watoto wasio na makosa) kwani mama 'changudoa na mwingine bar'mai' sidhani kama wana akili ya kuwaendeleza hao watoto
[ NIKO KI-UNICEF ZAIDI HAPA]

2. Kama huyo mume hana uwezo - hapo itakuwa imekual kwa 'watoto' kwani sitawachukua ndani ya nyumba

shida ni pale atakaporudia tena kosa hilo hilo????/ kweli MUME asiye mwaminifu ni SHIDA

hapa nimesema kama MAMA - ila mie ni YATIMA TU...........:A S-baby::A S-baby:

Nimekupigia saluti na bonge la senksi, kweli uko kimama zaidi.
 
Back
Top Bottom