nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
divorce ya nguvu akaishi na vipanya vyake,miwanaume ya kiafrica ovyo sana
Jamani rosemarie,
nahisi kama unawaonea waafrica tu,
mbona hata wazungu wanawapapalikia sana changudoa??,
Uhuni ni tabia ya mtu haijalishi kama ni mzungu,mhindi au mwafrica...lol