Utafanyeje ukigundua kuwa mumeo ana watoto wawili nje aliozaa na changudoa na mwingine kazaa na baa medi?
naenda kupima ukimwi,kutegemeana na uwezo na majibu ya ukimwi nitaamua nibaki nae au niondoke zangu :A S 39:
Nimeipenda sana hiyo UPIMEGE imenikumbusha Mwakaleliupimege monthly
Unapima ukimwi kwa sababu kazaa? Mbona hata wasiozaa wanatembea tu huko nje peku peku. Kama ni kupima basi upimege monthly
bora kina sie tusio na matarajio ya kua na hao waume!!!
Utafanyeje ukigundua kuwa mumeo ana watoto wawili nje aliozaa na changudoa na mwingine kazaa na baa medi?
Bora kina sie tusio na matarajio ya kua na hao waume!!!
Likinifika nitakujibu.
by other words wanawake ni waongo sana.